Ushauri wangu juu ya utulivu wa vijana kwa serikali ya Tanzania

Ushauri wangu juu ya utulivu wa vijana kwa serikali ya Tanzania

Chance ndoto

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2017
Posts
4,363
Reaction score
10,265
Maoni yangu tu kwa serikali na nchi yangu pendwa Tanzania.

Kumekua na Sintofahamu kubwa sana haswa kwa vijana wanaokesha mitandaoni, au watanzania wanaotumia mitandao. Kuna uhuru mkubwa sana wa Mitandao sasa, ambao ni safi kabisa. Ila siintofahamu zimekua nyingi saana.

Leo huyu kakamatwa, kesho huyu katekwa. Kesho yule kabakwa, ila vijana au watu wanaotumia mitandao wanapata jazba, taarifa zinachagizwa na chuki, kutukanana mitandaoni, watu mitandaoni wamekua na hasira sana. Hii inapelekea hata wasiofahamu habari vizuri, kuongelea vibaya zaidi kuhusu habari hizo. Juu yake zinakuja movement against serikali iliyo madarakani.

Nayo serikali inatakiwa itoe neno. Ikitoa neno linaonekana limechagizwa na movement ya mtandaoni, yaani hamna zuri la serikali wala mihimili yake. Nashauri, serikali itoe neno kwa mambo haya, Haswa Raisi wa nchi, X au JF ni ndogo sana, ila inaweza fikisha ujumbe mzito saaana kwa watu wasio mitandaoni.
Leo mtoto akipotea baasi ni serikali, Mtu akichinjwa serikali, msemaji akikosea herufi kuandika kwenye pdf. Serikali ya hovyo, Raisi akipita na gari zake nyingi serikali ya hovyo. Serikali imekua inatupiwa lawama zote.

Okay, leo imebidi niendelee kuandika, jana niliishia kaitkati. Raisi wangu Samia Suluhu. Ingekupendeza ungeongea na kamati yako ya ulinzi isikamate hawa vijana wa bavicha, waache waendelea na tamasha lao la vijana. Vijana wa chadema, inge wapendeza, mngeacha siasa za fujo na kukomoa , fanyeni tamasha lenu kwa amani.

Viongozi wa chadema, mimi naamini ipo siku chama chenu kikiwa na itikadi safi,mtatuongozea watoto wetu, wajukuu au sisi wenyewe. Siasa za kukomoa ningeshauri ziachwe na mshiriki kuijenga nchi kwa amani, inawezekana mko sahihi, ila hamko sahihi kwa utawala wa nchi yetu, Kwa vijana wakitanzania Haswa mitandaoni, ningependa muwe watu wa amani, tusishadadie kila kitu, bali tuijenge chi yetu, yawezekana sisi ndio viongozi wa baadae.

Asante. Nakosa maaneno maazuri na utulivu wa kuandika ila naiombea amani Tanzania, na furaha miongoni mwa wananchi wote. Bila tofauti zetu.
 
Mods naomba msifute uzi huu, ni wa maoni yangu tu kwa serikali na nchi yangu pendwa Tanzania.
Kumekua na. Sintofahamu kubwa sana haswa kwa vijana wanaokesha mitandaoni, au watanzania wanaotumia mitandao. Kuna uhuru mkubwa sana wa Mitandao sasa, ambao ni safi kabisa.
Ila siintofahamu zimekua nyingi saana. Leo huyu kakamatwa, kesho huyu katekwa. Kesho yule kabakwa, ila vijana au watu wanaotumia mitandao wanapata jazba, taarifa zinachagizwa na chuki, kutukanana mitandaoni, watu mitandaoni wamekua na hasira sana. Hii inapelekea. Hata wasiofahamu habari vizuri, kuongelea vibaya zaidi kuhusu habari hizo. Juu yake zinakuja movement against serikali iliyo madarakani.
Nayo serikali inatakiwa itoe neno. Ikitoa neno linaonekana limechagizwa na movement ya mtandaoni, yaani hamna zuri la serikali wala mihimili yake.
Nashauri, serikali itoe neno kwa mambo haya, Haswa Raisi wa nchi, X au JF ni ndogo sana, ila inaweza fikisha ujumbe mzito saaana kwa watu wasio mitandaoni.
Leo mtoto akipotea baasi ni serikali,
Mtu akichinjwa serikali, msemaji akikosea herufi kuandika kwenye pdf. Serikali ya hovyo, Raisi akipita na gari zake nyingi serikali ya hovyo.
Serikali imekua inatupiwa lawama zote.

Okay, leo imebidi niendelee kuandika, jana niliishia kaitkati.
Raisi wangu Samia Suluhu. Ingekupendeza ungeongea na kamati yako ya ulinzi isikamate hawa vijana wa bavicha, waache waendelea na tamasha lao la vijana.
Vijana wa chadema, inge wapendeza, mngeacha siasa za fujo na kukomoa , fanyeni tamasha lenu kwa amani.
Viongozi wa chadema,mimi naamini ipo siku chama chenu kikiwa na itikadi safi,mtatuongozea watoto wetu, wajukuu au sisi wenyewe.
Siasa za kukomoa ningeshauri ziachwe na mshiriki kuijenga nchi kwa amani, inawezekana mko sahihi, ila hamko sahihi kwa utawala wa nchi yetu,
Kwa vijana wakitanzania Haswa mitandaoni, ningependa muwe watu wa amani, tusishadadie kila kitu, bali tuijenge chi yetu, yawezekana sisi ndio viongozi wa baadae.
Asante.
Nakosa maaneno maazuri na utulivu wa kuandika ila naiombea amani Tanzania, na furaha miongoni mwa wananchi wote. Bila tofauti zetu.

..Ni lini Chadema au wapinzani wamefanya fujo?

..Mbona majuzi walifanya maandamano na hakuna waliyemuumiza?

..Wenye siasa za fujo ni POLISI wanaotumwa na Ccm.
 
Mwanetu ligi zipo karibu kuanza, acha tujipange na mapambano makali yaliyopo mbele yetu zidi ya Kanji 🤒😎
 
Umeongea jambo la msingi sana, ila Serikali ndiyo inakusanya kodi na ndio ina wajibu wa kulinda amani na kuhakikisha nchi inabaki kwenye asili yetu ya utulivu, hii biashara ya kutekana na kutupwa misitu ya Katavi sio poa period!!
Naamini haya mambo yanafanyiwa kazi, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu
 
..Ni lini Chadema au wapinzani wamefanya fujo?

..Mbona majuzi walifanya maandamano na hakuna waliyemuumiza?

..Wenye siasa za fujo ni POLISI wanaotumwa na Ccm.
Soma tena i Didn't need all that
 
Umeongea jambo la msingi sana, ila Serikali ndiyo inakusanya kodi na ndio ina wajibu wa kulinda amani na kuhakikisha nchi inabaki kwenye asili yetu ya utulivu, hii biashara ya kutekana na kutupwa misitu ya Katavi sio poa period!!
Naamini haya mambo yanafanyiwa kazi, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu
Amin Amin mkuu, ikawe heri
 
..umeandika vijana wa Chadema waache siasa za "fujo" na "kukomoa."

..na mimi nakuuliza, ni lini vijana wa Chadema wamefanya fujo?

..mbona majuzi kulikuwa mpaka na maandamano na hakuna aliyefanya fujo, au kuumiza mtu?
Fujo si kumuumiza mtu, maaneno, tambo, harakati zinaweza kuwa fujo au kuleta au kuakisi fujo, inawezekana ni ukawaida wao, ila nimeomba, sio lazma kufata maandishi yangu, nimetoa maoni.
Sijui umeelewa lakini?
 
Maoni yangu tu kwa serikali na nchi yangu pendwa Tanzania.

Kumekua na Sintofahamu kubwa sana haswa kwa vijana wanaokesha mitandaoni, au watanzania wanaotumia mitandao. Kuna uhuru mkubwa sana wa Mitandao sasa, ambao ni safi kabisa. Ila siintofahamu zimekua nyingi saana.

Leo huyu kakamatwa, kesho huyu katekwa. Kesho yule kabakwa, ila vijana au watu wanaotumia mitandao wanapata jazba, taarifa zinachagizwa na chuki, kutukanana mitandaoni, watu mitandaoni wamekua na hasira sana. Hii inapelekea hata wasiofahamu habari vizuri, kuongelea vibaya zaidi kuhusu habari hizo. Juu yake zinakuja movement against serikali iliyo madarakani.

Nayo serikali inatakiwa itoe neno. Ikitoa neno linaonekana limechagizwa na movement ya mtandaoni, yaani hamna zuri la serikali wala mihimili yake. Nashauri, serikali itoe neno kwa mambo haya, Haswa Raisi wa nchi, X au JF ni ndogo sana, ila inaweza fikisha ujumbe mzito saaana kwa watu wasio mitandaoni.
Leo mtoto akipotea baasi ni serikali, Mtu akichinjwa serikali, msemaji akikosea herufi kuandika kwenye pdf. Serikali ya hovyo, Raisi akipita na gari zake nyingi serikali ya hovyo. Serikali imekua inatupiwa lawama zote.

Okay, leo imebidi niendelee kuandika, jana niliishia kaitkati. Raisi wangu Samia Suluhu. Ingekupendeza ungeongea na kamati yako ya ulinzi isikamate hawa vijana wa bavicha, waache waendelea na tamasha lao la vijana. Vijana wa chadema, inge wapendeza, mngeacha siasa za fujo na kukomoa , fanyeni tamasha lenu kwa amani.

Viongozi wa chadema, mimi naamini ipo siku chama chenu kikiwa na itikadi safi,mtatuongozea watoto wetu, wajukuu au sisi wenyewe. Siasa za kukomoa ningeshauri ziachwe na mshiriki kuijenga nchi kwa amani, inawezekana mko sahihi, ila hamko sahihi kwa utawala wa nchi yetu, Kwa vijana wakitanzania Haswa mitandaoni, ningependa muwe watu wa amani, tusishadadie kila kitu, bali tuijenge chi yetu, yawezekana sisi ndio viongozi wa baadae.

Asante. Nakosa maaneno maazuri na utulivu wa kuandika ila naiombea amani Tanzania, na furaha miongoni mwa wananchi wote. Bila tofauti zetu.
CCM inatakiwa kuondolewa tumechoka nayo!
 
Maoni yangu tu kwa serikali na nchi yangu pendwa Tanzania.

Kumekua na Sintofahamu kubwa sana haswa kwa vijana wanaokesha mitandaoni, au watanzania wanaotumia mitandao. Kuna uhuru mkubwa sana wa Mitandao sasa, ambao ni safi kabisa. Ila siintofahamu zimekua nyingi saana.

Leo huyu kakamatwa, kesho huyu katekwa. Kesho yule kabakwa, ila vijana au watu wanaotumia mitandao wanapata jazba, taarifa zinachagizwa na chuki, kutukanana mitandaoni, watu mitandaoni wamekua na hasira sana. Hii inapelekea hata wasiofahamu habari vizuri, kuongelea vibaya zaidi kuhusu habari hizo. Juu yake zinakuja movement against serikali iliyo madarakani.

Nayo serikali inatakiwa itoe neno. Ikitoa neno linaonekana limechagizwa na movement ya mtandaoni, yaani hamna zuri la serikali wala mihimili yake. Nashauri, serikali itoe neno kwa mambo haya, Haswa Raisi wa nchi, X au JF ni ndogo sana, ila inaweza fikisha ujumbe mzito saaana kwa watu wasio mitandaoni.
Leo mtoto akipotea baasi ni serikali, Mtu akichinjwa serikali, msemaji akikosea herufi kuandika kwenye pdf. Serikali ya hovyo, Raisi akipita na gari zake nyingi serikali ya hovyo. Serikali imekua inatupiwa lawama zote.

Okay, leo imebidi niendelee kuandika, jana niliishia kaitkati. Raisi wangu Samia Suluhu. Ingekupendeza ungeongea na kamati yako ya ulinzi isikamate hawa vijana wa bavicha, waache waendelea na tamasha lao la vijana. Vijana wa chadema, inge wapendeza, mngeacha siasa za fujo na kukomoa , fanyeni tamasha lenu kwa amani.

Viongozi wa chadema, mimi naamini ipo siku chama chenu kikiwa na itikadi safi,mtatuongozea watoto wetu, wajukuu au sisi wenyewe. Siasa za kukomoa ningeshauri ziachwe na mshiriki kuijenga nchi kwa amani, inawezekana mko sahihi, ila hamko sahihi kwa utawala wa nchi yetu, Kwa vijana wakitanzania Haswa mitandaoni, ningependa muwe watu wa amani, tusishadadie kila kitu, bali tuijenge chi yetu, yawezekana sisi ndio viongozi wa baadae.

Asante. Nakosa maaneno maazuri na utulivu wa kuandika ila naiombea amani Tanzania, na furaha miongoni mwa wananchi wote. Bila tofauti zetu.
Kwahiyo wewe hayo magari 90 yaliyobeba dereva na bosi kila gari yanakimbizana wiki nzima unaona sawa tu!
 
Kwahiyo wewe hayo magari 90 yaliyobeba dereva na bosi kila gari yanakimbizana wiki nzima unaona sawa tu!
Kama nimeandika naona sawa ni sawa kama hujui kusoma, mwwambie mtu akusomee alafu urudi kucomment hapa.
 
..umeandika vijana wa Chadema waache siasa za "fujo" na "kukomoa."

..na mimi nakuuliza, ni lini vijana wa Chadema wamefanya fujo?

..mbona majuzi kulikuwa mpaka na maandamano na hakuna aliyefanya fujo, au kuumiza mtu?
Labda,angeeleza zaidi anaelewa nini kuhusu fujo?Fujo ni nini?
 
Mzee umepata nguvu ya kunikejeli kwamba mimi nimpumbavu kwasababu nimeitaja serikali.
Kuna jambo nimekosea?
Kuna sehemu nimeandika watu wasiwe mtandaoni?
Unajua kusoma wewe.

Ndio nyie kila anayeandika mnamuona chawa au muajiriwa au mteule wa raisi.
Soma vizuri acha matusi na kejeli, else wise comment maoni yako sio unatukana tukanahapa. Nakuheshimu niheshimu hata kama ni mtandaoni. Naa nimeandika swala la kutukanana. Njoo na hoja acha kejeli.
Kuhusu kura, hukupiga kwasababu umri wako haukufika, samia hakuchaguliwa kwa kura ni alisimama kwa kupokea kijiti.
Sasa kura hizi ushiriki na uchague unayemuamini ni bora.
Ashiriki kumchagua nani, wakati Tanzania hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Ashiriki kumchagua nani, wakati Tanzania hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Basi akaa tu nyumbani. Atapewa kiongozi wa kumuongoza simple and clear.
 
Basi akaa tu nyumbani. Atapewa kiongozi wa kumuongoza simple and clear.
Uko sahihi. Lakini huyo kiongozi wa kupewa, asilalamike pindi akikosa ushirikiano kwa watu ambao hawajamchagua.
 
Back
Top Bottom