Ushauri wangu kuhusu magari

Ushauri wangu kuhusu magari

Jstar1

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2019
Posts
1,391
Reaction score
1,347
Kama umezoea kuendesha magari ya chini, namaanisha fast cars kama altezza, subaru n.k, usije kununua ist, racts, oppa, passo, cam nk. utakufa.

Hizi gari za chini, ukiendesha speed haipinduki, yenyewe inacheza tu ata ukikaba brek ghafla ila hizi nyngne hazifai, usijaribu

Bora kama umezoea magari ya speed ubaki huko huko, au bora uanze na hizi za slow speed ndo uhamie uko kwenye high speed
 
Kama umezoea kuendesha magari ya chini, namaanisha fast cars kama altezza, subaru n.k, usije kununua ist, racts, oppa, passo, cam nk. utakufa.

Hizi gari za chini, ukiendesha speed haipinduki, yenyewe inacheza tu ata ukikaba brek ghafla ila hizi nyngne hazifai, usijaribu

bora kama umezoea magari ya speed ubaki huko huko, au bora uanze na hizi za slow speed ndo uhamie uko kwenye high speed
Kwani watakufa? Kwahio madereva wa hizo gari wanasubiri kufa?
 
Kama umezoea kuendesha magari ya chini, namaanisha fast cars kama altezza, subaru n.k, usije kununua ist, racts, oppa, passo, cam nk. utakufa.

Hizi gari za chini, ukiendesha speed haipinduki, yenyewe inacheza tu ata ukikaba brek ghafla ila hizi nyngne hazifai, usijaribu

bora kama umezoea magari ya speed ubaki huko huko, au bora uanze na hizi za slow speed ndo uhamie uko kwenye high speed
tahadhari
 
Kama umezoea kuendesha magari ya chini, namaanisha fast cars kama altezza, subaru n.k, usije kununua ist, racts, oppa, passo, cam nk. utakufa.

Hizi gari za chini, ukiendesha speed haipinduki, yenyewe inacheza tu ata ukikaba brek ghafla ila hizi nyngne hazifai, usijaribu

Bora kama umezoea magari ya speed ubaki huko huko, au bora uanze na hizi za slow speed ndo uhamie uko kwenye high speed
Opa naendesha mpaka 150kph na iko still tu imetulia na wala sina wasiwasi. Sipendi kumaliza speed sababu za usalama ila kamwendo kapo kapo.

Kingine Opa ni gari iliokamilika haikutengenezwa kwa wasiwasi hata ukifatilia history yake japo haikufanya vizuri sokoni with the likes of vista ardeo,progress,verossa.

Hivyo kupinduka sio rahisi hata nikikaba brakes sababu chassis yake ni ndefu na gari pana pana kidogo pia ina uzito flani for good centre of gravity ila sishauri ujaribu kwa gari kama IST au Passo.
 
Kama umezoea kuendesha magari ya chini, namaanisha fast cars kama altezza, subaru n.k, usije kununua ist, racts, oppa, passo, cam nk. utakufa.

Hizi gari za chini, ukiendesha speed haipinduki, yenyewe inacheza tu ata ukikaba brek ghafla ila hizi nyngne hazifai, usijaribu

Bora kama umezoea magari ya speed ubaki huko huko, au bora uanze na hizi za slow speed ndo uhamie uko kwenye high speed

Sawa tumekusikia...naona umenusurika kifo na ki ist chako [emoji3][emoji3]
 
Kama umezoea kuendesha magari ya chini, namaanisha fast cars kama altezza, subaru n.k, usije kununua ist, racts, oppa, passo, cam nk. utakufa.

Hizi gari za chini, ukiendesha speed haipinduki, yenyewe inacheza tu ata ukikaba brek ghafla ila hizi nyngne hazifai, usijaribu

Bora kama umezoea magari ya speed ubaki huko huko, au bora uanze na hizi za slow speed ndo uhamie uko kwenye high speed
Mwendokasi unaua haijalishi altezza au spacioView attachment 1596128
20200909_125848.jpg
 
Back
Top Bottom