Ushauri wangu kwa Azam media limited

Ushauri wangu kwa Azam media limited

MTU MKUU

Member
Joined
Feb 5, 2025
Posts
19
Reaction score
29
Kwanza niwape pole Watanzania wote Mashabiki na wapenda mpira kwa kadhia ya kunyimwa burudani ya soka kati ya watani wa jadi.

Jambo lile limeleta hathari si kwa Azam tv Pekee Bali kwa watanzania wote.

Watu walisafiri, watu walilipia vingamuzi. Azam tv waliitangaza sana mechi hiyo kwenye radio station mbali mbali pamoja na tv station mbali mbali. Pamoja na kutengeneza vipingi mahususi vya kuelekea mchezo huo.

Ushauri wangu kwa Azam Media limited.

Umuhimu wa kupitia upya mikataba yao pamoja na TFF pamoja na bodi ya ligi.

Ili kuweka sheria Kali hasa pale panapotekea upuuzi kama uliotokea juzi.

Kama kungekua na kipengele kinacho zibana hizi timu kwenye mkataba ujinga ule usingejitokeza.

Sasa niwakati mahususi wa Azam Media limited kuweka masharti kwenye mikataba yao juu ya urushwaji wa matangazo ya mpira.

Naomba kuwasilisha.
 
Kwanza niwape pole watanzania wote Mashabiki na wapenda mpira kwa kadhia ya kunyimwa burudani ya soka kati ya watani wa jadi.

Jambo lile limeleta hathari si kwa Azam tv Pekee Bali kwa watanzania wote.

Watu walisafiri, watu walilipia vingamuzi. Azam tv waliitangaza sana mechi hiyo kwenye radio station mbali mbali pamoja na tv station mbali mbali. Pamoja na kutengeneza vipingi mahususi vya kuelekea mchezo huo.

Ushauri wangu kwa Azam Media limited.

Umuhimu wa kupitia upya mikataba yao pamoja na TFF pamoja na bodi ya ligi.

Ili kuweka sharia Kali hasa pale panapotekea upuuzi kama uliotokea juzi.

Kama kungekua na kipengele kinacho zibana hizi timu kwenye mkataba ujinga ule usingejitokeza.

Sasa niwakati mahususi wa Azam Media limited kuweka masharti kwenye mikataba yao juu ya urushwaji wa matangazo ya mpira.

Naomba kuwasilisha.
Hathari ❌

Athari ✅
 
Kwanza niwape pole Watanzania wote Mashabiki na wapenda mpira kwa kadhia ya kunyimwa burudani ya soka kati ya watani wa jadi.

Jambo lile limeleta hathari si kwa Azam tv Pekee Bali kwa watanzania wote.

Watu walisafiri, watu walilipia vingamuzi. Azam tv waliitangaza sana mechi hiyo kwenye radio station mbali mbali pamoja na tv station mbali mbali. Pamoja na kutengeneza vipingi mahususi vya kuelekea mchezo huo.

Ushauri wangu kwa Azam Media limited.

Umuhimu wa kupitia upya mikataba yao pamoja na TFF pamoja na bodi ya ligi.

Ili kuweka sheria Kali hasa pale panapotekea upuuzi kama uliotokea juzi.

Kama kungekua na kipengele kinacho zibana hizi timu kwenye mkataba ujinga ule usingejitokeza.

Sasa niwakati mahususi wa Azam Media limited kuweka masharti kwenye mikataba yao juu ya urushwaji wa matangazo ya mpira.

Naomba kuwasilisha.
Hao simba unadhani wataongea nini
 
Usiumize kichwa mkuu. Hii nchi ina wajinga wengi na ndio wafanya maamuzi. We ukipata fursa piga tu usiwahurumie wajinga wasiojitambua
 
Kwanza niwape pole Watanzania wote Mashabiki na wapenda mpira kwa kadhia ya kunyimwa burudani ya soka kati ya watani wa jadi.

Jambo lile limeleta hathari si kwa Azam tv Pekee Bali kwa watanzania wote.

Watu walisafiri, watu walilipia vingamuzi. Azam tv waliitangaza sana mechi hiyo kwenye radio station mbali mbali pamoja na tv station mbali mbali. Pamoja na kutengeneza vipingi mahususi vya kuelekea mchezo huo.

Ushauri wangu kwa Azam Media limited.

Umuhimu wa kupitia upya mikataba yao pamoja na TFF pamoja na bodi ya ligi.

Ili kuweka sheria Kali hasa pale panapotekea upuuzi kama uliotokea juzi.

Kama kungekua na kipengele kinacho zibana hizi timu kwenye mkataba ujinga ule usingejitokeza.

Sasa niwakati mahususi wa Azam Media limited kuweka masharti kwenye mikataba yao juu ya urushwaji wa matangazo ya mpira.

Naomba kuwasilisha.
Pole yao Azam Media. Halafu ndio huwa anapigwa sana za uso na mashabiki wa hizo timu siku ikitokea sintofahamu ktk maamuzi uwanjani kuhusu camera zao
 
Back
Top Bottom