Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 2,235
- 4,252
Kumekuwa na uhaba mkubwa wa Sarafu za sh 500, 200, 100 na 50 pasipo kupatikana mwafaka wa usumbufu huu
Ukweli ni kuwa sarafu hizi zinaibiwa na Wachina kupitia Mashine za kamari zilizotapakaa kila kona ya nchi hasa sehemu za starehe
Huwa Sarafu hizi zinaibiwa kwa lengo la kwenda kuyeyusha ili kujipatia vito nakadhalika
Jinsi ya kuondoa tatizo hili sio kutengeneza Sarafu nyingine bali BoT inatakiwa kusitisha uzalishaji wa Sarafu na kuunda noti ambazo hazitaibiwa tena na kwenda kuyeyushwa kama inavyofanyika kwenye Sarafu
Ukweli ni kuwa sarafu hizi zinaibiwa na Wachina kupitia Mashine za kamari zilizotapakaa kila kona ya nchi hasa sehemu za starehe
Huwa Sarafu hizi zinaibiwa kwa lengo la kwenda kuyeyusha ili kujipatia vito nakadhalika
Jinsi ya kuondoa tatizo hili sio kutengeneza Sarafu nyingine bali BoT inatakiwa kusitisha uzalishaji wa Sarafu na kuunda noti ambazo hazitaibiwa tena na kwenda kuyeyushwa kama inavyofanyika kwenye Sarafu