Mkuu, chanzo ni holding ya hizo pesa,
Mfano mm binafsi nina zaidi ya 50k ya hizo hela, (200,100,50 na 500)
Na sina pa kuzipeleka, nafurahi tu kuziona, sasa na mwingine na mwingine,
Mm nikipata chenji kama hizo nikaingia nazo home, bas hesabu hizo zimetoka kwa mzunguko wa pesa, mana nitaweka kwa kopo langu