Ushauri wangu kwa Harmorapa kama unanisikia: Ukitaka kuwa juu nenda WCB chap kwa haraka

Ushauri wangu kwa Harmorapa kama unanisikia: Ukitaka kuwa juu nenda WCB chap kwa haraka

Kibosho1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
2,621
Reaction score
4,293
Wadau inapendeza kuwa pamoja kwa umoja.

Napenda kutoa pongezi kubwa sana kwa waumini wa WCM. Natoa pongezi kubwa pia kwa Naseeb Abdul a.k.a Diamond au Dangote.

Diamond ametengeneza nembo ambayo imekubalika sana na vijana wengi kwa kipindi hiki. Kukubalika huko kumeinua vijana wengi pia wawe wa kawaida au wawe na bidii waumini wakikukubali utakuwa juu tu.

Natoa ushauri kwa Harmorapa kama anataka na yeye kuwa juu aende tu WCB kwa waumini hawa watambeba na atakuwa juu haraka sana kuliko hata Rich Mavoko na Konde Boy.

Uzuri wa waumini hawa hawachagui ubora wala uwezo wao shida yao ni kuwa tu kwenye label yao.
 
Anaetoka Wasafi lazima afeli tu... Konde Boy anajitutumua sana lakini anaelekea kuwa msanii wa kawaida saivi
 
Harmonize kwa sasa anacheza Ligi moja na wakina Chris Brown, hawana wakina Diamond na Davido sio wa ligi zake.
team kiba naona mnatafuta pakufia, kesho kutwa pia vanyboy anaondoka wasafi utamfuata.
ila hongera unapenda mziki mzuri, atatengenezwa manamziki mwingine na utapenda mziki wake pia.
vipi acha ushamba umeisikiliza lakini?
 
harmorapa yuko juu nyie cheni ya mnyororo anayovaa ni milioni 50 halafu akiwa kenya dada yake jay alimshobokea , jiga na beyonce wanamkubali kishenzi ,hakuna label ya kumsaini hamorapa bongo labda roccafella ya new york
 
Back
Top Bottom