Harmonize kwa sasa anacheza Ligi moja na wakina Chris Brown, hawa wakina Diamond na Davido sio wa ligi zake.Anaetoka Wasafi lazima afeli tu... Konde Boy anajitutumua sana lakini anaelekea kuwa msanii wa kawaida saivi
Harmonize kwa sasa anacheza Ligi moja na wakina Chris Brown, hawana wakina Diamond na Davido sio wa ligi
team kiba naona mnatafuta pakufia, kesho kutwa pia vanyboy anaondoka wasafi utamfuata.Harmonize kwa sasa anacheza Ligi moja na wakina Chris Brown, hawana wakina Diamond na Davido sio wa ligi zake.
Ni supastaa wa maccmNdo Nani Huyo mbona simfahamu
Una akili timamu ww? unamfananisha Chris Brown na harmonize serious???Harmonize kwa sasa anacheza Ligi moja na wakina Chris Brown, hawa wakina Diamond na Davido sio wa ligi zake.
SijuiKwan wasafi wote pale wanajua kuimba?
Sijawahikujua wewe jamaa una akili ya ovyo kiasi hichiHarmonize kwa sasa anacheza Ligi moja na wakina Chris Brown, hawa wakina Diamond na Davido sio wa ligi zake.
Nikuulize weweSa kama hujui unaropoka nin
Msanii.Ndo Nani Huyo mbona simfahamu