Ushauri wangu kwa Lemutuz

tumechagua wenyewe siasa chafu na chama kubwa ndio waasisi matokeo yake hata wanaume wanaona sawa tu mwanaume mwenzao kuaibika. ila mange siku watesi wake wakimtia nguvuni sijui itakuwaje.
 
Sielewi kwa nini ila mimi naona ni vibaya kumkashifu Mtu kuhusu uume wake.unaweza ukawa na pilipili mbuzi ila ukajua kuitumia.na ukawa na muhogo Wa jan'gombe ukawa zero kitandani. Huyo alieweka hiyo video mwenyewe ana mdogo wake mnene pengine na yeye kina fanana na le mbebs. Na wengine mnaomcheka humu na nyie mna kasoro zenu. Kwa nini mtu msiachane kiamani?
 
Acheni tabia za kuwadhalilisha watu wengine. Hakuna binadamu aliyechagua kiuongo cha mwili wake kiwe vipi siku atakapozaliwa. Kila mtu amezaliwa hivyo alivyo pasi na hiari yake. Ni ulimbukeni na kukosa ustaarabu kumcheka mtu kwa sababu ya mapungufu yake kimwili. Jamii ya watu waliostaarabika, hawafanyi vitu vya kijinga kama hivi mnavyofanya ninyi.

Tunaweza kumhukumu mtu kwa matendo yake lakini hata siku moja hatuna ruhusa ya kumhukumu mtu kwa sababu ya upungufu wa kiuongo chake kwenye mwili wake. Vitu vingine ni kujitafutia laana zisizokuwa za lazima.

Mkuu Nahirat jaribu kuwa mstaarabu siku nyingine kabla ya kuanzisha "thread" za namna hii. Unaweza ukafikiri ni sifa kumbe unajitafutia laana.
 
Mbona na sisi mnatupigaaga picha secretly hatuongei tunatesa kwa zamu
 
Ni kweli
Maana hujafa hujaumbika
Ana weza kupata accident na kukatwa kila kitu!
Natubu kwa Mwenye Enzi Mungu!
 

We nae mambo ya chadema na ccm yamekujaje hapa? Mshaurini huyo baba awe na staha anadhalilishwa kwa sababu mwenyewe hajiheshimu.
 
Mimi huwa nawashangaa wanaume,mkiwa na hadhi kubwa tafuteni watu wa hadhi yenu.Wakina Chiku n Chausiku wana watu wao jamani.
Mpo kitandani kila mtu bussy na simu!!Ajabu
 


Out of topic..
 
wanaume tukisemwa sisi tunakuwa wapole na tunamkumbuka Mungu idadi za thread humu humu mkimchambua mwanamke hadi kumdharau maumbile yake na kumsema siwezi hesabu. anyway. huyo dada kazingua
Umeongea point mkuu. Humu kila kukicha kutuchamba. Na pia wanaume wamechukua video nyingi za wanawake kuliko wanaume Nakutudhalilisha kwenye mitandao ya kijamii sasa ona nanyie leo mnavyo umia. Hi tabia sio nzuri jamani. Anyway Mchuma janga hula na wakwao
 
AAAAAAIIIIIIIIIIIBBBBUUUUUUUUUUUUU duuuh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…