Serekali zote au ya Tz tu yenye huo mkono? Ya Kenya haina mkono mrefu auNamshauri Mhe. Mpina kwa kuwa Mhimili wa Bunge umechukua hatua dhidi yake kwa uamuzi wa kutokuhudhuria vikao 15 ni vema yeye akakaa kimya na akimaliza adhabu yake yeye atarudi Bungeni na kuendelea na majukumu yake kama Mbunge ndani ya Bunge. Nashauri asishindane na Serikali. Kuna msemo usemao:- "Serikali ina mkono mrefu".
Acheni kufundisha watu uoga,ushauri wako ni wa kike sana,ndio maana hii nchi haitafanikiwa kwa kuwa na vijana aina yakoNamshauri Mhe. Mpina kwa kuwa Mhimili wa Bunge umechukua hatua dhidi yake kwa uamuzi wa kutokuhudhuria vikao 15 ni vema yeye akakaa kimya na akimaliza adhabu yake yeye atarudi Bungeni na kuendelea na majukumu yake kama Mbunge ndani ya Bunge. Nashauri asishindane na Serikali. Kuna msemo usemao:- "Serikali ina mkono mrefu".
Bibi Betina acha kimberembereNamshauri Mhe. Mpina kwa kuwa Mhimili wa Bunge umechukua hatua dhidi yake kwa uamuzi wa kutokuhudhuria vikao 15 ni vema yeye akakaa kimya na akimaliza adhabu yake yeye atarudi Bungeni na kuendelea na majukumu yake kama Mbunge ndani ya Bunge. Nashauri asishindane na Serikali. Kuna msemo usemao:- "Serikali ina mkono mrefu".
Namshauri Mhe. Mpina kwa kuwa Mhimili wa Bunge umechukua hatua dhidi yake kwa uamuzi wa kutokuhudhuria vikao 15 ni vema yeye akakaa kimya na akimaliza adhabu yake yeye atarudi Bungeni na kuendelea na majukumu yake kama Mbunge ndani ya Bunge. Nashauri asishindane na Serikali. Kuna msemo usemao:- "Serikali ina mkono mrefu".Uwenda anahisi ameonewa,Je ni sahii kukaa kimya ukiwa umeonewa?
Kenya wanadai Katiba Mpya tena 😂😂😂😂Anatafuta sababu ya kufukuzwa chama ili sasa apate public sympathy kama "mkombozi wa watu". Ni strategy nzuri lakini alipaswa apambanie katiba mpya na tume huru ili hata akihama chama awe na uhakika wa kurudi bungeni or better kushinda urais.
Cha ajabu sasa hajaandaa mazingira ya kushindana na Samia akiwa nje ya CCM, yatamkuta kama ya Membe tu. So ushauri ni kwamba angekaa kimya tu adhabu iishe kama alivyofanya Gwajima au zitto. Zaidi angeweza zunguka tu mikoani afanye mikutano mikubwa kueleza kilichotokea, that's all.
Ila wanaomshauri apambane bila malengo wanampoteza tu.
Wameanza lini tenaKenya wanadai Katiba Mpya tena 😂😂😂😂
Waafrika ni shida
Mkono mrefu upi ikiwa imeshindwa kuwajua waliomshoot Lissu?Namshauri Mhe. Mpina kwa kuwa Mhimili wa Bunge umechukua hatua dhidi yake kwa uamuzi wa kutokuhudhuria vikao 15 ni vema yeye akakaa kimya na akimaliza adhabu yake yeye atarudi Bungeni na kuendelea na majukumu yake kama Mbunge ndani ya Bunge. Nashauri asishindane na Serikali. Kuna msemo usemao:- "Serikali ina mkono mrefu".
Ina mkono mrefu kwa waoga. Serikali ni watu na kama ni watu watakufa tu. Tulidai uhuru bila uoga na kukaa kimya kwanini leo tudai haki kwa serikali yetu kwa kukaa kimya? Nani atakupa haki kwa kukaa kimya? Haya matapeli yanapenda waoga na wakaa kimya. Mpina shikilia hapo hapoNamshauri Mhe. Mpina kwa kuwa Mhimili wa Bunge umechukua hatua dhidi yake kwa uamuzi wa kutokuhudhuria vikao 15 ni vema yeye akakaa kimya na akimaliza adhabu yake yeye atarudi Bungeni na kuendelea na majukumu yake kama Mbunge ndani ya Bunge. Nashauri asishindane na Serikali. Kuna msemo usemao:- "Serikali ina mkono mrefu".
Hapo anashindana na serikari kwa namna gani wakati serikali hiyo hiyo imeweka utaratibu wa kukata rufaa endapo mtu hataridhika na uamuzi uliotolewa na chombo au vyombo husika vya serikali? Hata kwa watumishi wa umma utaratibu ndio huo? Au wewe unaongelea serikali ipi anayoshindana nayo?Namshauri Mhe. Mpina kwa kuwa Mhimili wa Bunge umechukua hatua dhidi yake kwa uamuzi wa kutokuhudhuria vikao 15 ni vema yeye akakaa kimya na akimaliza adhabu yake yeye atarudi Bungeni na kuendelea na majukumu yake kama Mbunge ndani ya Bunge. Nashauri asishindane na Serikali. Kuna msemo usemao:- "Serikali ina mkono mrefu".
Onako hili , public sympathy unaijua wewe ???.Anatafuta sababu ya kufukuzwa chama ili sasa apate public sympathy kama "mkombozi wa watu". Ni strategy nzuri lakini alipaswa apambanie katiba mpya na tume huru ili hata akihama chama awe na uhakika wa kurudi bungeni or better kushinda urais.
Cha ajabu sasa hajaandaa mazingira ya kushindana na Samia akiwa nje ya CCM, yatamkuta kama ya Membe tu. So ushauri ni kwamba angekaa kimya tu adhabu iishe kama alivyofanya Gwajima au zitto. Zaidi angeweza zunguka tu mikoani afanye mikutano mikubwa kueleza kilichotokea, that's all.
Ila wanaomshauri apambane bila malengo wanampoteza tu.
R.I.P Rev. Mtikila.Namshauri Mhe. Mpina kwa kuwa Mhimili wa Bunge umechukua hatua dhidi yake kwa uamuzi wa kutokuhudhuria vikao 15 ni vema yeye akakaa kimya na akimaliza adhabu yake yeye atarudi Bungeni na kuendelea na majukumu yake kama Mbunge ndani ya Bunge. Nashauri asishindane na Serikali. Kuna msemo usemao:- "Serikali ina mkono mrefu".
Tatizo la CCM wakizidiwa hoja wanateka na kuua kisha unatupwa hifadhi ya Katavi.Asikae Kimya Aende Mbele Mpaka CCM Maji Wayaite Mmaa
Hiko unachosema angepambania angepata result hizo hizo, why? Chama hakipendi maana wanajua hivyo vitu vinaenda kumaliza power yao. Maybe kiserikal wasinge muadhibu but kwenye chama wasingemuachaAnatafuta sababu ya kufukuzwa chama ili sasa apate public sympathy kama "mkombozi wa watu". Ni strategy nzuri lakini alipaswa apambanie katiba mpya na tume huru ili hata akihama chama awe na uhakika wa kurudi bungeni or better kushinda urais.
Cha ajabu sasa hajaandaa mazingira ya kushindana na Samia akiwa nje ya CCM, yatamkuta kama ya Membe tu. So ushauri ni kwamba angekaa kimya tu adhabu iishe kama alivyofanya Gwajima au zitto. Zaidi angeweza zunguka tu mikoani afanye mikutano mikubwa kueleza kilichotokea, that's all.
Ila wanaomshauri apambane bila malengo wanampoteza tu.