Ushauri wangu kwa Mh Dk. Kigwangalla

Namshauri mh rais atengue wadhifa wa HKigwangalla make tayari mshukiwa mwenyewe keshajishushia credibility ya kuendelea kukitumikia cheo chake.
Maana haiwezekani kiongozi mkubwa mwenye kushiriki vikao vya baraza la mawaziri anatangaza hadharani kuwa anaingia vitani kupambana na mahasimu wake ambao haijulikani utaifa wao rasmi. Tena amediliki kutamka waziwazi kwamba atatumia silaha yeyote ile kuhakikisha kwamba anawaangusha maadui zake!
Hii ni hatari kwa usalama wa Taifa letu make hatujui maadui zake wao wamejipanga vipi kimashambulizi na kujibu mapigo. Vipi kama wataamua kumteka Kigwangalla na kumsurutisha atowe siri za wizara ama baraza la mawaziri?
Vipi kama HK ataamua kutoa hadhalani nyaraka za siri kama utetezi dhidi ya tuhuma zake? make ipo wazi ukisoma majibu yake ni kama amepaniki. Wanao mtuhumu wameshamzidi parefu sana ndiyo maana Kigwangala ameshindwa kujibu hoja.
Hii ni alarm kwamba endapo watesi wake wakimtwist tena, atakuja na majibu ya kimhemko zaidi.

HK nafasi imekukataa plz n'gatuka tu usifosi
 
Duh, kumbe haya mambo yalianza kitambo!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…