Ushauri wangu kwa Redio Bongo FM

kilosaboy

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2018
Posts
205
Reaction score
280
Hawa jamaa walikua TBC FM sasa wanajiita Bongo FM.

Kuanzia leo ila niwashauri wabadilike katika content zao wajikite kuburdani zaidi waachane na vipindi vinavyofanywa na TBC Taifa kama ukulima, ufugaji, ma'suala ya kisiasa na kijamii, hotuba za watawala waachane nayo.

Kwa maoni yangu wakipunguza hayo radio itakua bomba sana.
 
Kwahiyo TANZANIA BROADCAST COOPERATION ( TBC) NDIO IMEBADILISHWA JINA KUWA BONGO FM?

Ufafanuzi tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…