Ushauri wangu kwa Robertinho kuhusu kikosi cha kesho

Hakuna mchezaji anayepiga vizuri long passes kama Mzamiru
 
Mzamiru hupiga pass baada ya kumeza mate,kudundadunda Kama Masai..kifupi anahitaji muda mrefu mpaka kufanya maamuzi ya maana,muda ambao horoya hawatompa
Sikubaliani na wewe. Ingawa alipwaya mwezi wa pili kwenye game kama 4 hivi hakuwa kwenye form ila mechi hizi za mwisho kama 3 hadi 4 amerudi vizuri.
 
Simba Haina wachezaji kabisa.

Ila wewe nawe KIBOKO yani chama acheze no 8 hii Kali ya Mwaka.
 
Umuhimu wa Mzamiru ni mkubwa kwakuwa horoya wanakuja kufunguka,,, halafu Baleke na Phiri sizani
 
Hata uchezaji wa Sakho nae akishika mpira anarudi nyuma tofauti na Banda
 

Unamuongelea mzamiru wa mwaka gan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…