Ushauri wangu kwa timu yangu ya Yanga

Ushauri wangu kwa timu yangu ya Yanga

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu, huu ni ushauri wangu kwa timu yangu ya Yanga ila sijui kama huu ushauri utawafikia viongozi wa juu Yanga, kwamba:

Yanga wakifunguka wamekwisha panga iwe kucheza 'defensive with counter attack', ama wataweka kumzuia Mwarabu kwa dk. 45 za mwanzo, basi kupindi cha pili Mwarabu ataingia kwa wasiwasi.

Hii ni kwasababu hatataka kwenda kwenye kupiga penati kwa sababu penati hazina mwenyewe, na hapo Yanga ndiyo anaweza kutumia mwanya kumuadhibu.

Kama ikatokea Mwarabu amepata goli kwenye kipindi cha kwanza, basi kipindi cha pili lazima Yanga wafunguke. Maana hawana tena cha kupoteza, na hapo ndiyo linakuja suala la kuchezesha washabuliaji wawili Mayele na Makambo.
 
Mkuu salaam, samahani, una daraja gani la ukocha?
 
Kushinda hii Michezo kubwa ni Saikolojia Ya Wachezaji Na Benchi La Ufundi..!

Ni Kujenga 'spirit' Kuwa tunawaweza...!Hlf Uwe Na Timu Kweli..!

Sasa mnavyomuona Nabi na Ile body Language yake Na mnavyowatazama Wachezaji Wa Yanga, nyie mnaona Kitu pale...? Maana huku Nyumbani Sisi 'wakandamizaji Wa Mihogo' tushakata tamaa..!
 
Wakuu, huu ni ushauri wangu kwa timu yangu ya Yanga ila sijui kama huu ushauri utawafikia viongozi wa juu Yanga, kwamba:

Yanga wakifunguka wamekwisha panga iwe kucheza 'defensive with counter attack', ama wataweka kumzuia Mwarabu kwa dk. 45 za mwanzo, basi kupindi cha pili Mwarabu ataingia kwa wasiwasi.

Hii ni kwasababu hatataka kwenda kwenye kupiga penati kwa sababu penati hazina mwenyewe, na hapo Yanga ndiyo anaweza kutumia mwanya kumuadhibu.

Kama ikatokea Mwarabu amepata goli kwenye kipindi cha kwanza, basi kipindi cha pili lazima Yanga wafunguke. Maana hawana tena cha kupoteza, na hapo ndiyo linakuja suala la kuchezesha washabuliaji wawili Mayele na Makambo.
Mpaka half time Uto wameshakandwa mara tatu bila majibu
 
Kushinda hii Michezo kubwa ni Saikolojia Ya Wachezaji Na Benchi La Ufundi..!

Ni Kujenga 'spirit' Kuwa tunawaweza...!Hlf Uwe Na Timu Kweli..!

Sasa mnavyomuona Nabi na Ile body Language yake Na mnavyowatazama Wachezaji Wa Yanga, nyie mnaona Kitu pale...? Maana huku Nyumbani Sisi 'wakandamizaji Wa Mihogo' tushakata tamaa..!
That is the point...well said
 
Sijasoma hii sirediii yako ila kama kuna sehem umemtaja makambo kama mchezaji na awe kweny first 11...basi hyo game mtapigwa hadi mchakae
 
Hata wakipaki basi hawawezi kuwa bora kama wapinzani wao walivyofanya wakiwa hapa nyumbani

Kwanza sikumbuki ni mechi gani ambayo Yanga aliwahi kucheza kwa kujilinda (kupaki basi) kama game plan formation

Club Africain kwa kiwango walichokionesha hapa nyumbani, walicheza vizuri sana kuliko Al Hilal.

Yanga waingie kwa tahadhari zaidi na kwa mbinu mbadala lakini hiyo yote haitawezekana kama wachezaji wenyewe hawajitumi au hawa cooperate kama timu

Sijui cha kumshauri Nabi ila naona kuchezesha double striker kwenye mechi hii sioni kama ni option sahihi kulingana na wale majamaa nilivyo waona

Kwasababu ukiweka double striker basi lazima eneo la kati pale pawe weak, na jinsi nilivyowaona Club Africain walivyokuwa wanakabia kuanzia eneo la kati halafu tena eneo hilo lipate mushkeri naona kama watakuwa wamerahisishiwa kazi zaidi.
 
Mbona hii mechi Yanga wanafunga mapema tuu....
 
Wataalam wa mpira wanakwambia mpira una vipindi vitatu vimegawanyika kwa dakika 30 kwa hyo game plan ya kocha wowote inaanzia hapo.
 
Hata wakipaki basi hawawezi kuwa bora kama wapinzani wao walivyofanya wakiwa hapa nyumbani

Kwanza sikumbuki ni mechi gani ambayo Yanga aliwahi kucheza kwa kujilinda (kupaki basi) kama game plan formation

Club Africain kwa kiwango walichokionesha hapa nyumbani, walicheza vizuri sana kuliko Al Hilal.

Yanga waingie kwa tahadhari zaidi na kwa mbinu mbadala lakini hiyo yote haitawezekana kama wachezaji wenyewe hawajitumi au hawa cooperate kama timu

Sijui cha kumshauri Nabi ila naona kuchezesha double striker kwenye mechi hii sioni kama ni option sahihi kulingana na wale majamaa nilivyo waona

Kwasababu ukiweka double striker basi lazima eneo la kati pale pawe weak, na jinsi nilivyowaona Club Africain walivyokuwa wanakabia kuanzia eneo la kati halafu tena eneo hilo lipate mushkeri naona kama watakuwa wamerahisishiwa kazi zaidi.
Mechi na Simba kipindi Zahera kocha wa Yanga
 
Wakuu, huu ni ushauri wangu kwa timu yangu ya Yanga ila sijui kama huu ushauri utawafikia viongozi wa juu Yanga, kwamba:

Yanga wakifunguka wamekwisha panga iwe kucheza 'defensive with counter attack', ama wataweka kumzuia Mwarabu kwa dk. 45 za mwanzo, basi kupindi cha pili Mwarabu ataingia kwa wasiwasi.

Hii ni kwasababu hatataka kwenda kwenye kupiga penati kwa sababu penati hazina mwenyewe, na hapo Yanga ndiyo anaweza kutumia mwanya kumuadhibu.

Kama ikatokea Mwarabu amepata goli kwenye kipindi cha kwanza, basi kipindi cha pili lazima Yanga wafunguke. Maana hawana tena cha kupoteza, na hapo ndiyo linakuja suala la kuchezesha washabuliaji wawili Mayele na Makambo.
Kosa atakalo lifanya Profesa Nabi ni lile lile la kuendelea kuwaanzisha wachezaji wasio kaba, na wasio na muunganiko mzuri na timu kama Tuisila Kisinda.

Na kuwaacha nje wachezaji wenye uthubutu kule mbele kama Moloko na Sure Boy.

Ningekuwa mimi ndiyo kocha wa Yanga! Ningeanza na kikosi hiki;

1. Diarra,
2. Kibwana Shomari
3. Faridi Mussa/Lomalisa
4. Dickson Job
5. Yannick Bangala
6. Khalid Aucho
7. Jesus Moloko
8. Salum Abubakary Sure Boy
9.Fiston Mayele
10. Feisal Salum
11. Dennis Nkane/ Bernard Morrison.

Azizi Kii na Morrison wangeanzia nje. Tuisila Kisinda asiwepo hata kwenye idadi ya wachezaji wa akiba.

I wish timu iwe na viungo wengi katikati ili kumiliki mpira na kupeleka mashambulizi mbele.

NB: ifahamike mimi ni kocha mwenye uzoefu mkubwa tu wa kufundisha soka. Sema ndiyo vile nipo huku Kijijini, napiga tu pombe zangu za kienyeji na wagosi wenzangu.
 
Kosa atakalo lifanya Profesa Nabi ni lile lile la kuendelea kuwaanzisha wachezaji wasio kaba, na wasio na muunganiko mzuri na timu kama Tuisila Kisinda.

Na kuwaacha nje wachezaji wenye uthubutu kule mbele kama Moloko na Sure Boy.

Ningekuwa mimi ndiyo kocha wa Yanga! Ningeanza na kikosi hiki;

1. Diarra,
2. Kibwana Shomari
3. Faridi Mussa/Lomalisa
4. Dickson Job
5. Yannick Bangala
6. Khalid Aucho
7. Jesus Moloko
8. Salum Abubakary Sure Boy
9.Fiston Mayele
10. Feisal Salum
11. Dennis Nkane/ Bernard Morrison.

Azizi Kii na Morrison wangeanzia nje. Tuisila Kisinda asiwepo hata kwenye idadi ya wachezaji wa akiba.

I wish timu iwe na viungo wengi katikati ili kumiliki mpira na kupeleka mashambulizi mbele.

NB: ifahamike mimi ni kocha mwenye uzoefu mkubwa tu wa kufundisha soka. Sema ndiyo vile nipo huku Kijijini, napiga tu pombe zangu za kienyeji na wagosi wenzangu.
Toa aucho hapo kocha kwamaana aucho ndio kirusi cha yanga, mikimbio michache na hafiki kwenye maeneo(kufanya covering) kwa wakati, kwa kawaida utafungwa tu the same busquets(Barcelona) yeye ndo anaongoza kwa kuichoka timu..
 
Back
Top Bottom