Ushauri wangu kwa viongozi wa Simba Sports Club kuelekea mechi ya tarehe 8 Agosti 2024 dhidi ya Yanga

Ushauri wangu kwa viongozi wa Simba Sports Club kuelekea mechi ya tarehe 8 Agosti 2024 dhidi ya Yanga

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
1. Hawa watu hawana timu, hakikisheni mnauonya uongozi wa uwanja wa Mkapa kuhusu kuwafungulia mageti ya pembeni Yanga SC jina la utani Utopolo ili waingie uwanjani, imekuwa tabia sasa Utopolo kupitia milango mingine mbali na ule wanaotakiwa kupitia wachezaji.

Kuna mawasiliano huwa yanafanyika baina ya Utopolo na uongozi wa uwanja kwa sababu haiwezekani kila mechi wawe wanafunguliwa geti la kuingilia.

2. Utopolo hawatatumia basi lao siku hiyo, hakikisheni hilo mnalijua mapema ili mitego iwanase.

3. Hakikisheni msikubali kupangiwa muda wa kuanza mchezo na TFF, huo muda utakuwa umepangwa na Utopolo ili mganga wao aweze kukamilisha kazi yao.

4. Mechi yao vs Red Arrows imethibitisha kuwa wao ni watu wa mipango zaidi kuliko ubora wa timu, haiwezekani ukaifunge Kaizer Chiefs mabao 4 halafu uje kuhangaika na kucheza soka mbovu vs wazambia hao ambao wamejichokea.

5. Wao sasa hivi wanaitwa Hamissa Mobetto FC maana walichokifanya jana ni aibu kubwa kwa taasisi yao.

Soma pia: Ngao ya Jamii, Yanga atashinda mechi jumla ya mabao kuanzia 3 nk. Aziz Ki/Dube/ Mudathir/ Baleke kuwanyoa Simba
 
1. Hawa watu hawana timu zaidi ya kutegemea ushirikina, hakikisheni mnauonya uongozi wa uwanja wa Mkapa kuhusu kuwafungulia mageti ya pembeni Utopolo ili waingie uwanjani, imekuwa tabia sasa Utopolo kupitia milango mingine mbali na ule wanaotakiwa kupitia wachezaji.Kuna mawasiliano huwa yanafanyika baina ya Utopolo na uongozi wa uwanja kwa sababu haiwezekani kila mechi wawe wanafunguliwa geti la kuingilia.

2. Utopolo hawatatumia basi lao siku hiyo, hakikisheni hilo mnalijua mapema ili mitego iwanase.

3.Hakikisheni msikubali kupangiwa muda wa kuanza mchezo na TFF, huo muda utakuwa umepangwa na Utopolo ili mganga wao aweze kukamilisha kazi yao.

4.Mechi yao vs Red Arrows imethibitisha kuwa wao ni watu wa mipango zaidi kuliko ubora wa timu, haiwezekani ukaifunge Kaizer Chiefs mabao 4 halafu uje kuhangaika na kucheza soka mbovu vs wazambia hao ambao wamejichokea.

5.Wao sasa hivi wanaitwa Hamissa Mobetto FC maana walichokifanya jana ni aibu kubwa kwa taasisi yao
Comments reserved
 
1. Hawa watu hawana timu zaidi ya kutegemea ushirikina, hakikisheni mnauonya uongozi wa uwanja wa Mkapa kuhusu kuwafungulia mageti ya pembeni Utopolo ili waingie uwanjani, imekuwa tabia sasa Utopolo kupitia milango mingine mbali na ule wanaotakiwa kupitia wachezaji.Kuna mawasiliano huwa yanafanyika baina ya Utopolo na uongozi wa uwanja kwa sababu haiwezekani kila mechi wawe wanafunguliwa geti la kuingilia.

2. Utopolo hawatatumia basi lao siku hiyo, hakikisheni hilo mnalijua mapema ili mitego iwanase.

3.Hakikisheni msikubali kupangiwa muda wa kuanza mchezo na TFF, huo muda utakuwa umepangwa na Utopolo ili mganga wao aweze kukamilisha kazi yao.

4.Mechi yao vs Red Arrows imethibitisha kuwa wao ni watu wa mipango zaidi kuliko ubora wa timu, haiwezekani ukaifunge Kaizer Chiefs mabao 4 halafu uje kuhangaika na kucheza soka mbovu vs wazambia hao ambao wamejichokea.

5.Wao sasa hivi wanaitwa Hamissa Mobetto FC maana walichokifanya jana ni aibu kubwa kwa taasisi yao
Vilaza wa umbumbuni ni janga la taifa, uwezi kuwa na wanachama ama mashabiki wa sampuli hii alafu ukategemea mafanikio, Mangungu alikuwa sahihi kabisa kukataa kujiuzulu sababu alikuwa anajua anaongoza watu wenye IQ ndogo sana wenye uwezo ndogo sana wa kupambanua mambo!
 
1. Hawa watu hawana timu zaidi ya kutegemea ushirikina, hakikisheni mnauonya uongozi wa uwanja wa Mkapa kuhusu kuwafungulia mageti ya pembeni Utopolo ili waingie uwanjani, imekuwa tabia sasa Utopolo kupitia milango mingine mbali na ule wanaotakiwa kupitia wachezaji.Kuna mawasiliano huwa yanafanyika baina ya Utopolo na uongozi wa uwanja kwa sababu haiwezekani kila mechi wawe wanafunguliwa geti la kuingilia.

2. Utopolo hawatatumia basi lao siku hiyo, hakikisheni hilo mnalijua mapema ili mitego iwanase.

3. Hakikisheni msikubali kupangiwa muda wa kuanza mchezo na TFF, huo muda utakuwa umepangwa na Utopolo ili mganga wao aweze kukamilisha kazi yao.

4. Mechi yao vs Red Arrows imethibitisha kuwa wao ni watu wa mipango zaidi kuliko ubora wa timu, haiwezekani ukaifunge Kaizer Chiefs mabao 4 halafu uje kuhangaika na kucheza soka mbovu vs wazambia hao ambao wamejichokea.

5. Wao sasa hivi wanaitwa Hamissa Mobetto FC maana walichokifanya jana ni aibu kubwa kwa taasisi yao
Ni haki tukikosa Kombe miaka 3. Huyu naye ni miongoni mwa mizigo inayoshabikià Simba.
 
Na hakikisheni bus lenu linarudi kinyume nyume kama vile mlivyofanya na mechi ya al ahly.
 
1. Hawa watu hawana timu zaidi ya kutegemea ushirikina, hakikisheni mnauonya uongozi wa uwanja wa Mkapa kuhusu kuwafungulia mageti ya pembeni Utopolo ili waingie uwanjani, imekuwa tabia sasa Utopolo kupitia milango mingine mbali na ule wanaotakiwa kupitia wachezaji.Kuna mawasiliano huwa yanafanyika baina ya Utopolo na uongozi wa uwanja kwa sababu haiwezekani kila mechi wawe wanafunguliwa geti la kuingilia.

2. Utopolo hawatatumia basi lao siku hiyo, hakikisheni hilo mnalijua mapema ili mitego iwanase.

3. Hakikisheni msikubali kupangiwa muda wa kuanza mchezo na TFF, huo muda utakuwa umepangwa na Utopolo ili mganga wao aweze kukamilisha kazi yao.

4. Mechi yao vs Red Arrows imethibitisha kuwa wao ni watu wa mipango zaidi kuliko ubora wa timu, haiwezekani ukaifunge Kaizer Chiefs mabao 4 halafu uje kuhangaika na kucheza soka mbovu vs wazambia hao ambao wamejichokea.

5. Wao sasa hivi wanaitwa Hamissa Mobetto FC maana walichokifanya jana ni aibu kubwa kwa taasisi yao
Kaa hivyo hivyo tuje tukukande.
 
1. Hawa watu hawana timu zaidi ya kutegemea ushirikina, hakikisheni mnauonya uongozi wa uwanja wa Mkapa kuhusu kuwafungulia mageti ya pembeni Utopolo ili waingie uwanjani, imekuwa tabia sasa Utopolo kupitia milango mingine mbali na ule wanaotakiwa kupitia wachezaji.Kuna mawasiliano huwa yanafanyika baina ya Utopolo na uongozi wa uwanja kwa sababu haiwezekani kila mechi wawe wanafunguliwa geti la kuingilia.

2. Utopolo hawatatumia basi lao siku hiyo, hakikisheni hilo mnalijua mapema ili mitego iwanase.

3. Hakikisheni msikubali kupangiwa muda wa kuanza mchezo na TFF, huo muda utakuwa umepangwa na Utopolo ili mganga wao aweze kukamilisha kazi yao.

4. Mechi yao vs Red Arrows imethibitisha kuwa wao ni watu wa mipango zaidi kuliko ubora wa timu, haiwezekani ukaifunge Kaizer Chiefs mabao 4 halafu uje kuhangaika na kucheza soka mbovu vs wazambia hao ambao wamejichokea.

5. Wao sasa hivi wanaitwa Hamissa Mobetto FC maana walichokifanya jana ni aibu kubwa kwa taasisi yao
Sio kweli yanga hawachezagi hivyo huoni kila mtu alikuwa anacheza namba sio yake hawa yanga wanawaingiza mkenge
 
Nyie ndio mnawapotezaga viongozi halafu timu ikifungwa ooh Mangungu hafai
 
1. Hawa watu hawana timu zaidi ya kutegemea ushirikina, hakikisheni mnauonya uongozi wa uwanja wa Mkapa kuhusu kuwafungulia mageti ya pembeni Utopolo ili waingie uwanjani, imekuwa tabia sasa Utopolo kupitia milango mingine mbali na ule wanaotakiwa kupitia wachezaji.Kuna mawasiliano huwa yanafanyika baina ya Utopolo na uongozi wa uwanja kwa sababu haiwezekani kila mechi wawe wanafunguliwa geti la kuingilia.

2. Utopolo hawatatumia basi lao siku hiyo, hakikisheni hilo mnalijua mapema ili mitego iwanase.

3. Hakikisheni msikubali kupangiwa muda wa kuanza mchezo na TFF, huo muda utakuwa umepangwa na Utopolo ili mganga wao aweze kukamilisha kazi yao.

4. Mechi yao vs Red Arrows imethibitisha kuwa wao ni watu wa mipango zaidi kuliko ubora wa timu, haiwezekani ukaifunge Kaizer Chiefs mabao 4 halafu uje kuhangaika na kucheza soka mbovu vs wazambia hao ambao wamejichokea.

5. Wao sasa hivi wanaitwa Hamissa Mobetto FC maana walichokifanya jana ni aibu kubwa kwa taasisi yao
Kipigo kipo pale pale hakuna namna!
 
Back
Top Bottom