Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Sisi tunaoifahamu Simba bila ushabiki oya oya tunajua kuwa wachezaji wetu wengi ndani ya Simba hawawezi kutoa ushindani, lazima uongozi, wapenzi, mashabiki na wanachama wakubali kuwa kikosi chetu siyo kipana.
Wachezaji kama Kennedy Wilson Juma, jimmyson Mwinuke, Gadiel Michael, Erasto nyoni, Jonas mkude, Victor Akpan, Nelson Okwa, Peter Banda, Mzamiru, Kanoute, Tshabalala, Kapombe kuumwa umwa, Israel kuumwa umwa, Nassoro Kapama, Mohamed Quattara, John Bocco tayari baadhi yao wameshatumika sana na hawana jipya, wengine walevi na kasi hawana, wengine wazito.
Ushauri wangu, dirisha dogo Simba wavunje kibubu na iwe isiwe iwasajili hawa hapa.
Prince Dube Azam, James Akaminko Azam, Nathaniel, Chilambo Azam, wale Wamarekani watatu wa Singida,
Naftar Nashon Geita, Manzoki na wengineo.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Wachezaji kama Kennedy Wilson Juma, jimmyson Mwinuke, Gadiel Michael, Erasto nyoni, Jonas mkude, Victor Akpan, Nelson Okwa, Peter Banda, Mzamiru, Kanoute, Tshabalala, Kapombe kuumwa umwa, Israel kuumwa umwa, Nassoro Kapama, Mohamed Quattara, John Bocco tayari baadhi yao wameshatumika sana na hawana jipya, wengine walevi na kasi hawana, wengine wazito.
Ushauri wangu, dirisha dogo Simba wavunje kibubu na iwe isiwe iwasajili hawa hapa.
Prince Dube Azam, James Akaminko Azam, Nathaniel, Chilambo Azam, wale Wamarekani watatu wa Singida,
Naftar Nashon Geita, Manzoki na wengineo.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app