DodomaTZ
Member
- May 20, 2022
- 84
- 118
Kuna jambo moja ambalo watu wengi huwa ni kama wanachukulia poa lakini kiuhalisia lina maana kubwa, jambo hili ni kubadili jina la umiliki wa gari au chombo chochote cha moto
Nazungumza haya kwa kuwa nimeona mambo kibao yakitokea huko mitaani na menginie ni kwa watu wangu wa karibu.
Unakuta gari imewahi kufanya msala siku za nyuma au mmiliki mwenyewe ana msala, hivyo anapokuuzia kisha ukaendelea kutumia bila kubadilisha jina inamaanisha kuwa lolote likitokea kazi unayo.
Lakini pia hata sheria zinakataza na ndio maana trafiki wakikunasa unatumia gari ambalo lina umiliki usio wa kwako wanaweza kukuchomesha na kukupa msala.
Nazungumza haya kwa kuwa nimeona mambo kibao yakitokea huko mitaani na menginie ni kwa watu wangu wa karibu.
Unakuta gari imewahi kufanya msala siku za nyuma au mmiliki mwenyewe ana msala, hivyo anapokuuzia kisha ukaendelea kutumia bila kubadilisha jina inamaanisha kuwa lolote likitokea kazi unayo.
Lakini pia hata sheria zinakataza na ndio maana trafiki wakikunasa unatumia gari ambalo lina umiliki usio wa kwako wanaweza kukuchomesha na kukupa msala.