Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Hili linahusu watani zangu wa bukoba wanaoamini kahawa yao Robusta yenye ladha chunguuu sana ati ni bora kuliko arabica ya kulee Kilimanjaro
Poleni sana Kwa kuamini msiyoyajua!
Hakuna anayeipiga vita robusta yenu hata kidogo ila kwa kiwango kamwe haifikii arabika!
Arabica ni bora na inapendwa sana kutokana na ladha yake nzuri na ya kipekee kabisa
Arabica ni bora kuliko robusta yenu mnoyoipigia debe mkiamini kuwa eti no bora kuliko arabica
Naenda hotel yeyote agiza kahawa ni Arabica Arabica
Arabica inafaa kwa flavors zote yaani Cappuccino ,Americano ,Espresso ,Latte ,Caffè macchiato, Caffè mocha, Cortado ,Flat white Café au lait ,Doppio n.k
Poleni sana Kwa kuamini msiyoyajua!
Hakuna anayeipiga vita robusta yenu hata kidogo ila kwa kiwango kamwe haifikii arabika!
Arabica ni bora na inapendwa sana kutokana na ladha yake nzuri na ya kipekee kabisa
Arabica ni bora kuliko robusta yenu mnoyoipigia debe mkiamini kuwa eti no bora kuliko arabica
Naenda hotel yeyote agiza kahawa ni Arabica Arabica
Arabica inafaa kwa flavors zote yaani Cappuccino ,Americano ,Espresso ,Latte ,Caffè macchiato, Caffè mocha, Cortado ,Flat white Café au lait ,Doppio n.k