Ushauri: Watu wa afya wasisitize usafi wa vyombo vinavyotumiwa mighahawani

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
418
Reaction score
526
Katika maeneo ambayo tunapokezana sana vifaa vya kulia chakula ni migahawa ya kitaa na maeneo ya wauza supu. Unakuta kijiko kimoja kimepita kwenye midomo ya watu 20.

Ninachotaka kushauri hapa ni vema watu wa afya mtoe agizo rasmi kila kijiko kikitumika siyo kioshwe na sabuni na maji safi na kiingizwe kwenye maji ya moto ili anapopewa mteja kitoke humo.
 
Kuna sehemu nilipendelea kunywa pombe kali mara kwa mara, sasa kilichonifanya niogope unakuta glass ikiisha mhudumu haoshi anaigeuza tu alafu akija mteja mwingine anapewa glass ileile.
Glass ikinywea soda anaidumbukiza kwenye maji na kuitoa
 
Nilikuwa Tunduma nikaenda kula sehemu moja apo inaitwa Kilimanjaro. Asee hao watu wote pale ni wachafu sana. Hawaoshi vyombo vizuri. Alafu bado wanatumia maplastiki.
 
Nilikuwa Tunduma nikaenda kula sehemu moja apo inaitwa Kilimanjaro. Asee hao watu wote pale ni wachafu sana. Hawaoshi vyombo vizuri. Alafu bado wanatumia maplastiki.
Haya maplastiki nayo yapigwe marufuku migahawani.
 
Mm ndo Mana natembeaga na sahan ,kikombe na kijiko changu
 
Nishaacha kula migahawani,usafi katika jamii hizi za wajinga na masikini ni changamoto sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…