Ushauri watuhumiwa wa ugaidi Arusha wasikae pamoja mahabusu na wale wa kisutu

Ushauri watuhumiwa wa ugaidi Arusha wasikae pamoja mahabusu na wale wa kisutu

AZUSA STREET

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2013
Posts
2,007
Reaction score
1,897
nilikuwa sijaelewa, nyie wenzetu milioko maeneo ya magereza ambayo wale watuhumiwa wa ugaidi wanaoshitakiwa pale kisutu dsm, na wale waliosomewa leo arusha, je? wamewekwa mahabusu moja?nina maan awapo chumba kimoja? hatari ninayoiona ni kwamba, wakiwekwa pamoja kule gerezani wanaweza kuwa wamepewa uwanja mzuri sana wa kujadili na kupanga namna ya kuendeleza ugaidi wakiwa ndani na nje, ili wavurugane kabisa na wasiweze kabisa kuwasiliana (kwasababu hawana dhamana), wanatakiwa watenganishwe waonene tu siku ya kesi kutajwa ila wakiwa kule gerezani wawekwe maeneo maalumu yenye ulinzi na watenganishwe kabisa na kuwe na inteligensia kule gerezani kuona wanawafundisha nini wafungwa/mahabusu wengine.

naomba magereza ya arusha na dsm mfanye hili kama hamjafanya, mkiwaweka pamoja ni sawa na mmewapa nafasi ya kukaa kikao wao na kujadili namna ya kuiharibu zaidi hii tz ambayo tulizoea kuishi kwa amani. Mungu ibariki tanzania.
 
nilikuwa sijaelewa, nyie wenzetu milioko maeneo ya magereza ambayo wale watuhumiwa wa ugaidi wanaoshitakiwa pale kisutu dsm, na wale waliosomewa leo arusha, je? wamewekwa mahabusu moja?nina maan awapo chumba kimoja? hatari ninayoiona ni kwamba, wakiwekwa pamoja kule gerezani wanaweza kuwa wamepewa uwanja mzuri sana wa kujadili na kupanga namna ya kuendeleza ugaidi wakiwa ndani na nje, ili wavurugane kabisa na wasiweze kabisa kuwasiliana (kwasababu hawana dhamana), wanatakiwa watenganishwe waonene tu siku ya kesi kutajwa ila wakiwa kule gerezani wawekwe maeneo maalumu yenye ulinzi na watenganishwe kabisa na kuwe na inteligensia kule gerezani kuona wanawafundisha nini wafungwa/mahabusu wengine.

naomba magereza ya arusha na dsm mfanye hili kama hamjafanya, mkiwaweka pamoja ni sawa na mmewapa nafasi ya kukaa kikao wao na kujadili namna ya kuiharibu zaidi hii tz ambayo tulizoea kuishi kwa amani. Mungu ibariki tanzania.
Man's mind, once stretched by a new idea, never regains its original dimensions.
 
Man's mind, once stretched by a new idea, never regains its original dimensions.
what do you mean sir? amini usiamini, huwezi kuamini siku ukija kujua kuwa hawa jamaa walikuwa wanakaa pamoja kule gerezeni hivyo yawezekana wanaweka vikao kila siku namna watakavyokuja kulipiza kisasi dhidi tz kutokana na waliyotendewa. dawa yao ni kuwaweka gizani kila mtu asijue kinaoendelea kwa mwenzie, tusiwape uwanja kuwapamoja. bora wawe kama alivyo ponda sasaivi na wafuasi wake. wao wapo rundo wakiwa pamoja kule ndani wanaweza hata kurecruit watu wengine waliokata tamaa mle ndani wakawa wafuasi wao. sote tunayajua magereza yetu yalivyo. we are talking from experience.
 
what do you mean sir? amini usiamini, huwezi kuamini siku ukija kujua kuwa hawa jamaa walikuwa wanakaa pamoja kule gerezeni hivyo yawezekana wanaweka vikao kila siku namna watakavyokuja kulipiza kisasi dhidi tz kutokana na waliyotendewa. dawa yao ni kuwaweka gizani kila mtu asijue kinaoendelea kwa mwenzie, tusiwape uwanja kuwapamoja. bora wawe kama alivyo ponda sasaivi na wafuasi wake. wao wapo rundo wakiwa pamoja kule ndani wanaweza hata kurecruit watu wengine waliokata tamaa mle ndani wakawa wafuasi wao. sote tunayajua magereza yetu yalivyo. we are talking from experience.

is this how suspects should be treated --by Human right?
The degree of civilization in a society can be judged by entering its prisons.
Every war when it comes, or before it comes, is represented not as a war but as an act of self-defense against a homicidal maniac
 
Back
Top Bottom