2v1
JF-Expert Member
- Mar 28, 2024
- 247
- 358
Wanandoa na mliowahi kuishi na wanawake naombeni ushauri kidogo, huwa napenda sana kujifunza mawili matatu kabla, ili niweze kufahamu walau kwa uchache jambo ambalo nakwenda kulifanya, wenda isiwe mipango ya sasa lakini najua nitalifanya.
Binafsi ndiyo najitafuta kimaisha, napenda sana biashara nadhani ndiyo kitu ambacho naweza nikawekeza sana sehemu hiyo. Natamani siku moja niwe na mwenza sahihi, kuna muda huwa natafakari kuhusu hawa viumbe kuna muda huwa kama siwaelewi hivi.
Swali:
Nitakapokuwa na mwenza nimshirikishe kwenye biashara au niwe nazipambania mwenyewe au awe na kazi yake tu au awe ajua kwa juu juu tu au awe mama wa nyumbani tu maana huwa nafikiria ikitokea nimeenda mbali kibiashara au kuumwa kwa muda kidogo.
Je, ni nani atakaye zisimamia biashara hizo?
Binafsi ndiyo najitafuta kimaisha, napenda sana biashara nadhani ndiyo kitu ambacho naweza nikawekeza sana sehemu hiyo. Natamani siku moja niwe na mwenza sahihi, kuna muda huwa natafakari kuhusu hawa viumbe kuna muda huwa kama siwaelewi hivi.
Swali:
Nitakapokuwa na mwenza nimshirikishe kwenye biashara au niwe nazipambania mwenyewe au awe na kazi yake tu au awe ajua kwa juu juu tu au awe mama wa nyumbani tu maana huwa nafikiria ikitokea nimeenda mbali kibiashara au kuumwa kwa muda kidogo.
Je, ni nani atakaye zisimamia biashara hizo?