Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 728
Habari wakuu! Nina mtoto wa miezi 11 ana afya nzuri tu lkn alichelewa kuota meno ila yalipoanza kuota ya chini nimeshangaa ameota jino moja kwa upande wa chini na ya juu yanatokea yote mawili.
Naomba ushauri kwa wanaojua je hii inaweza kusababishwa na nini maana jino moja la chini lilioota lina kama 1.2mm wakati hakuna dalili ya kuota jino la pili.
Naomba ushauri kwa wanaojua je hii inaweza kusababishwa na nini maana jino moja la chini lilioota lina kama 1.2mm wakati hakuna dalili ya kuota jino la pili.