Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 728
Husiwe na wasiwasi yataota
tu..Mwanangu yalianza meno ya juu yakafika manne wakati chini hakuna
kitu, sikuwa na wasiwasi kwani ninajua binadamu tunatofautiana.. na
baada ya muda likatokea jino moja chini, after kama 2months likatokeza
la pili yake.. Ni kawaida sana. (Kama ingekuwa enzi zile basi mbona
nisingekuwa na mtoto si unajua zamani ilikuwa kama mtoto anaanza na meno
ya juu basi ni mkosi)