Kuna mtu wangu alihitimu kidato cha 4 mwaka 2008 akipata ufaulu wa div.4 ya point 26 na alipata credit 4 ya,Civics B,English C,Kiswahili C na Geography C na the rest yote ni F.
Kwa bahati nzuri alijiunga na Advanced level ambapo aligraduate 2012 na kwa bahati mbaya hakufaulu vzr kwani alipata Subsidiary 2 tu.
Hivyo nipo hapa kuomba ushauri wenu mmshauri aende njia ipi ambayo itakuwa sahii na faida kwake maana bado ana hamu na shule,unfortunately things have changed maana hata ualimu sifa zake zimeshapitwa na wakati.
Nitashukuru kwa kuushauri mtakaotoa.
NAWASILISHA.