Ushauri wenu plz

Ushauri wenu plz

Mirajr93

Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
66
Reaction score
56
Nikiwa likizo hamu ya kusoma sina kabisa sijui kwanini,msaada wenu tafadhali.
 
utakuwa na shughuli nyingine mbadala zinazokufanya usisome, vipi kuhusu yale mambo yetu yaleeeeee.... huudhurii sana ukiwa hom? inawezekana yanachangia kama ni active member kwenye hii aina ingine ya elimu..
 
kusoma mpaka wewe uamue kusoma, kama huna hamu ya kusoma ukiwa likizo basi hupendi kusoma ukiwa likizo. Uko kombi gani?
 
we hauko serious,pcm ni ya kufanyia mzaha kiasi hcho?me nlidhani hata uko zile comb zetu za kuimba mashairi,soma kijana acha utani na mama ndalichako!

Ngoja niamke maana likizo imeisha.
 

inategemea na shule unayosoma, kama private ya ukweli hata kama pcm ukila bata sio mbaya, ila kama shule yenyewe sio kivile kaza sana mchizi wangu, pcm sio mchezo, sikutishi ila mimi naijua iyo kombi ingawa sikuisoma
 
Back
Top Bottom