kitoto wa vitoto
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 375
- 410
Poleni na hongereni kwa pilika za maisha
Mm ni kijana wa umri wa kati pungufu ya 30
Nilikuwa na wazo la kilimo kwa siku nyingi na niliweka malengo kudunduliza mpaka nitimizehszma yangu
Hatimae nimefanikiwa kupata eneo mkoa wa pwani kata ya tarawanda (chalinze) eneo ni ukipanda na barabara ya kwa mwarabu kuna kijiji kidogo kipo karibu na shule ya msingi ndo maeneo hayo kwa ndani kidogo .
Lengo langu ni kufuga kisasa, kulima kisasa kuweka miradi midogo midogo pia
Je eneo hilo ni mali ya wananchi kweli au ni eneo la mwekezaji? (Kuna member mmoja alisema maeneo hayo kuna shamba la watu hivyo tuwe makini) nimewasiliana na viongozi kupitia watu wengine ila viongozi wamesema ni mali yake na ni halali
Naomba mnishauri
1 kuhusu uhalali au tahadhari ya maeneo hayo
2 hali ya hewa ya huko hasa mvua nk
Upatikanaji wa maji ya kuchimba
4 ushauri mwinginro.
Note
Shamba nimepata ila bado sijalilipia
Karibuni kwa ushauri na mapendekezo
Natanguliza shukrani
Mm ni kijana wa umri wa kati pungufu ya 30
Nilikuwa na wazo la kilimo kwa siku nyingi na niliweka malengo kudunduliza mpaka nitimizehszma yangu
Hatimae nimefanikiwa kupata eneo mkoa wa pwani kata ya tarawanda (chalinze) eneo ni ukipanda na barabara ya kwa mwarabu kuna kijiji kidogo kipo karibu na shule ya msingi ndo maeneo hayo kwa ndani kidogo .
Lengo langu ni kufuga kisasa, kulima kisasa kuweka miradi midogo midogo pia
Je eneo hilo ni mali ya wananchi kweli au ni eneo la mwekezaji? (Kuna member mmoja alisema maeneo hayo kuna shamba la watu hivyo tuwe makini) nimewasiliana na viongozi kupitia watu wengine ila viongozi wamesema ni mali yake na ni halali
Naomba mnishauri
1 kuhusu uhalali au tahadhari ya maeneo hayo
2 hali ya hewa ya huko hasa mvua nk
Upatikanaji wa maji ya kuchimba
4 ushauri mwinginro.
Note
Shamba nimepata ila bado sijalilipia
Karibuni kwa ushauri na mapendekezo
Natanguliza shukrani