Ushauri wenu unahitajika

doppla2

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2014
Posts
1,363
Reaction score
1,431
Huku nikisononeka naanza kuandika uzi huu.
Kifupi nimejariwa sura yenye midevu, ila katika chaguo la namna ya muonekano nilichagua kuwa nazinyoa na kuacha kidevu cha mbuzi

Mwanzo haikuwa tatizo na huwa nashave saloon. Ilitokea kipindi kimoja baada ya kunyoa vipele vilitokea ,na kujaribu kuvizibithi nilikua natumia spirit daily...

Mwanzoni niliona inanisaidia ,ukipaka inakua flesh. Lakini baada ya Muda mzuki ulichange mazima. Hata nipake nini vipele haviishi.

Nimemeza antibiotic, antfungal na dawa zenye steroid za kutosha, ila tatizo naona kama limegoma

Hofu yangu kadri muda unavyoenda nimeanza kupoteza ujasiri wangu. Coz kila nayekutana nae nahisi kama ananihurumia vipele vyangu.

Dematologist wa mwisho kuonana nae ,licha ya madawa mengi alinitia moyo kuwa hili ni tatizo la ndevu za baadhi za waafrika, ukizinyoa zikiwa zinakua zinachoma na kusababisha vipele .

Wakuu kwangu hili limekua tatizo, hata nikisema sasa ngoja niziache zikue , mipele inanisumbua na zinawasha mbaya.

Karibuni wadau mnipe way foward....coz mipele hii imeondoa credity kwenye u handsome wangu.
 
Pole sana,
Hilo tatizo huwa inategemea na aina ya ngozi ya mtu lkn mara nyingi Spirit ndio huwa tatizo, Spirit pia inakomaza kidevu...ni heri kutafuta After-shave au Poda.

Wakati mwingine hata hizi saloon tunazotumia ambazo zipo local sana watu huweza kuambukizana infections.

Nenda hospitali chief kwa wataalam wa ngozi watakupa suluhisho sahihi.
 
New package ..after shave + mafuta ya nazi + mashine yako mwenyew ya kushave usishare na mtu
 
Ndio uanaume huo, usijali sana juu ya uhandsome.

Mashine tunazotumia nyingi unakuta inakwangua hadi kidevu kinauma pia spirit ni tatizo sana inafanya kidevu kinakomaa, kama mfuko unaruhusu acha kwenda salon za buku jaribu kwenda salon kubwa zenye huduma bora zaidi uone tafauti.
 
Pole sana mkuu kwa hilo tatzo lazima upoteze kujiamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…