Mh! Mwee!Mcharuko mbona unafíchaficha mambo kama ni wewe sema tu na wala hainaga shida.? Solution hapo ni kuchange maegesho ya magari ama unatakiwa kujaribu kubadilisha mapishi au jinsi ya kula hicho chakula na bila kusahau kubadilisha mikao ya kula hiyo nyama ikibidi hata peleka tonge kule kwenye tope(puani) bila kuogopa makamasi mwisho wake utasikia utamu sana kucheua haraka tu yale maziwa matakatifu nido..?
Mh! Mwee!
Sio mimi. Mengi kayafanya isipokuwa imeshindikana.Mcharuko mbona unafíchaficha mambo kama ni wewe sema tu na wala hainaga shida.? Solution hapo ni kuchange maegesho ya magari ama unatakiwa kujaribu kubadilisha mapishi au jinsi ya kula hicho chakula na bila kusahau kubadilisha mikao ya kula hiyo nyama ikibidi hata peleka tonge kule kwenye tope(puani) bila kuogopa makamasi mwisho wake utasikia utamu sana kucheua haraka tu yale maziwa matakatifu nido..?
hapo kwenye red ushauri huo sikubaliani nao kabisa, mcharuko hilo la huyu jamaa weka pembeni, nahisi huyu ni wale wale mateja wa mtandao wa tigo.mcharuko mbona unafíchaficha mambo kama ni wewe sema tu na wala hainaga shida.? Solution hapo ni kuchange maegesho ya magari ama unatakiwa kujaribu kubadilisha mapishi au jinsi ya kula hicho chakula na bila kusahau kubadilisha mikao ya kula hiyo nyama ikibidi hata peleka tonge kule kwenye tope(puani) bila kuogopa makamasi mwisho wake utasikia utamu sana kucheua haraka tu yale maziwa matakatifu nido..?
mwambie wadivorce then aoe sabuni ka vp
Nishakaribia The Boss!
aaah,ushakuwa wewe..!!bado kdg nini?Jamani sio mimi mbona mmenishikilia bango mi badobado kidogo
Naomba Mungu tu yasinikute.