mtima nyongo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,947
- 2,047
Gari yangu ni gx100 cresta cc2000 tatizo la hii gari ni nguvu,
Kupanda milima aina nguvu kabisa na niliipeleka service na fundi akaikagua engine na kuniambia hii gari ili iwe sawa inabidi kushusha na kuichambua engine ili kila kibovu kitupwe na kuwekwa kipya au nitafute engine nyingine maana hata nikirekebisha hii muda si mrefu itasumbua tena.
Sasa wakuu hapo mnashaulije niirekebishe hii hii au ninunue engine nyingine na ghrama ya engine nyingine itanigharimu kiasi gan?
Naombeni ushauri wenu wadau
Kupanda milima aina nguvu kabisa na niliipeleka service na fundi akaikagua engine na kuniambia hii gari ili iwe sawa inabidi kushusha na kuichambua engine ili kila kibovu kitupwe na kuwekwa kipya au nitafute engine nyingine maana hata nikirekebisha hii muda si mrefu itasumbua tena.
Sasa wakuu hapo mnashaulije niirekebishe hii hii au ninunue engine nyingine na ghrama ya engine nyingine itanigharimu kiasi gan?
Naombeni ushauri wenu wadau