Katika hali ya kawaida tunashauriwa kupiga mswaki baada ya kula.ila kwa asilimia kubwa watanzania tulio wengi husukutua mdomo na sio kupiga mswaki.swali ni kwamba yale maji uliyotumia kusukutulia mdomo uyameze au uyateme?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.