Nakuja kukuvutishaHuu uandishi ni wa kiume hata weqe na bangi zako huwezi andika hivi😂
Wewe ni genuispatterns
View attachment 2385290
•angalia wote wawili wanatumia alama za mshangao mbili kwa sms
• Wote wanaanza na herufi kubwa mara nyingi halafu kati wanachanganya na herufi kubwa tena
•Time gap hamna ipo weka niweke txt hakukuwa na mda wa kufikiria majibu, kwamba something was scripted
Uitoe wapi weweNakuja kukuvutisha
😅😅😅 utajua hujuiUitoe wapi wewe
Nenda kwenye Harusi akuone kisha ukuwe unamnyandua kama atakavyo, Hongera kwa Mchongo Bomba kabisa huo.
na kweli huu ndomkakati wao...shameWanachafua ndoa,wanashauriana wasioe halafu wanaanza kuinamishana wenyewe kwa wenyewe....tunawacheki tu.
Nitafute nikuletee [emoji2][emoji2]Nakuja kukuvutisha