Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hamna hela sasa twafanyaje ?tupumzisheni kidg mkuu
#tunaoumianisisimashabiki
Best comment everWee mbona ni Mjinga kupitiliza, INA maana ukiwa huna hela Leo ndiyo unaacha kufanya jitihada za kupata fedha kesho? Hebu punguza ujinga wako au jaribu kuuficha maana mwishowe hutakuwa mpumbavu.
Ukisoma vizuri uzi wangu kuna mahali nimeandika hivi , nanukuu " WALA HAINA MIPANGO YOYOTE YA KUJIKWAMUA " mwisho wa kunukuuWee mbona ni Mjinga kupitiliza, INA maana ukiwa huna hela Leo ndiyo unaacha kufanya jitihada za kupata fedha kesho? Hebu punguza ujinga wako au jaribu kuuficha maana mwishowe hutakuwa mpumbavu.
Kujikwamua ni pamoja na kusajili wachezaji wengine. Kumbuka club haiwezi kuwepo bila wachezaji. Sasa jaribu kutafakari kwa making ulichokianzisha hapa jukwaani. Alafu kumbuka katika maisha kuna kupanda na kushuka pia.Ukisoma vizuri uzi wangu kuna mahali nimeandika hivi , nanukuu " WALA HAINA MIPANGO YOYOTE YA KUJIKWAMUA " mwisho wa kunukuu
Cdm utawajua tuu.View attachment 1291553
Kwa huruma kubwa sana naiomba TFF kuizuia timu ya Yanga kusajili wachezaji wapya ili kuipunguzia mzigo wa madeni , iendelee na wachezaji ilionao ili iweze kupunguza madeni.
Nawaasa wachezaji wa ndani na nje ya nchi waepuke kuhadaika na Yanga , hii timu haina hela wala haina mipango yoyote ya kujikwamua
nimejawa na huruma sana !