Naomba ushauri au kujua nini kinaweza sababisha mtu ukiamka asubuhi uso macho na vidole kujaa au kuvimba?? Nimechk,sukar,wingi wa damu,malaria,typhd,mkojo ,pressur kila kitu kipo normal naombeni ushauri au nini tatizo??[emoji17][emoji17]
Inahitaji kupima jinsi gani figo zinachuja taka, pia kufahamu kiwango cha protein na albumin kwenye damu, pia kifahamu kama kuna protein kwenye mkojo na kwa kiwango gani, pia umri wa mgonjwa, Nephrotic Syndrome yaweza kuwa tatizo..hakikisha unaenda hospi au maabara ya uhakika.