Nilikuwa addicted kwenye punyeto baada ya kuacha kuna vitu vinanijia kwenye mawazo na vinaninyima raha.Wakati mwingine nasikia hofu,yananijia mawazo mabaya niki waangalia watu nahisi kama wananiongelea Mimi.Sanyingine nikitaka kwenda mahali naingiwa na hofu mpaka hua nahisi kama tumbo linakata.Je wadau mambo haya ni sababu ya hiyo addiction na pia nifanyeje niweze kuondokana na hilo tatizo.Asante