Ushauri

Ushauri

baiser

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
1,480
Reaction score
2,239
Kuna mwezi mmoja na nusu umepita tangu nishiriki na binti mmoja leo nimetumiwa hii kitu sasa najiuliza ni kwel yuko positive na je kuna vitu vinaweza fanyaa aonekae postive wakati ni negative kwa kutumia hiko kipimo ili nikahakikishe mwenyew hospitali ?


IMG_20181222_203607_3.jpeg
 
Sasa kama anayo muda unavyokwenda tumbo si litakuwa kubwa? Kwanini unateseka? Au unataka kufanya jinai?(kutoa mimba)
 
Hapana siwez shaur hiloo hata kama nifungwe
Sasa kama anayo muda unavyokwenda tumbo si litakuwa kubwa? Kwanini unateseka? Au unataka kufanya jinai?(kutoa mimba)
 
Ok trust her! If you trust urself,count on future baby!.
Nilitaka kujua kama inaweza onesha mistar miwili arafu iwe negative yaan kipimo kidanganye au kama huwa kinasoma hivyoo mtu akiwa na kitu kingine tofauti na mimbaa
 
Kuna mwez mmoja na nusu umepita tangu nishiriki na binti mmoja Leo nimetumiwa hii kitu sasa najiuliza ni kwel yuko positive na je kuna vitu vinaweza fanyaa aonekae postive wakati ni negative kwa kutumia hiko kipimo ili nikahakikishe mwenyew hospital ?


View attachment 974831
Hongera sana mkubwa alafu jike asee
 
Nilitaka kujua kama inaweza onesha mistar miwili arafu iwe negative yaan kipimo kidanganye au kama huwa kinasoma hivyoo mtu akiwa na kitu kingine tofauti na mimbaa
Hahahaa! Iyo kitu yenyewe bro! Hakuna muujiza hapo,hukujipanga nini?usijumize kichwa kuwa karibu nae huyo mama kijacho,jipe muda then leta mrejesho hapa.
 
Sasa hapo kukutumia tu hiyo (hajasema inamhusu nani) wewe unaanza kuomba ushauri. Je akikuambia anaujauzito wako utafanyaje?

Ushauri wangu ni kuwa tulia, siku akikuambia ni mimba yako kubali na uchukue majukumu yako kama mwanaume.
 
Sasa hapo kukutumia tu hiyo (hajasema inamhusu nani) wewe unaanza kuomba ushauri. Je akikuambia anaujauzito wako utafanyaje?

Ushauri wangu ni kuwa tulia, siku akikuambia ni mimba yako kubali na uchukue majukumu yako kama mwanaume.
Mm siwez kataa sabb nilishiriki nae sio Mara moja nimtu wangu hua tuna leana
 
Back
Top Bottom