Shukuru Mungu na hiyo imetiki, walau huyo wa 6yrs apate mdogo wake sasaHapana bosi nishawah pata mmoja miaka 7 iliyopita
Okay ngoja nisubr mkuu mwanaume wa kwel hatukimbiagi mimba hasa zikiwa zinaonesha kutuhusuHahahaa! Iyo kitu yenyewe bro! Hakuna muujiza hapo,hukujipanga nini?usijumize kichwa kuwa karibu nae huyo mama kijacho,jipe muda then leta mrejesho hapa.
Good!!Okay ngoja nisubr mkuu mwanaume wa kwel hatukimbiagi mimba hasa zikiwa zinaonesha kutuhusu
Okay ngoja nisubr mkuu mwanaume wa kwel hatukimbiagi mimba hasa zikiwa zinaonesha kutuhusu
Eeh mkuu kubali ukweli tyu..Duuh aisee inbd nitulize akili nipokee matokeo
Ngomaa imoo hiyoo... kama ulitaka kuzugaa tu ndo balaaOkay shida ni hiko kipimo ndo Leo nimekiona sina uzoefu navyo .ndo nikaja kwa watalamu wa mambo
Nimecheka sana yaani.watakuwa wa mkoani hawaNimelipenda Shuka lilivyo la Kihenga[emoji16][emoji16]
Kwann usiamini kwan huna uwezo wa kuzalisha? cha muhimu ni kupata uhakika kama ni yako na hujabambikiwa basi, hivyo vipimo vinaonyesha kitu kimo kinapumua.Hapanaa siogopi ilaa nataka nijue maana sijaamin bado
Nimecheka sana yaani.watakuwa wa mkoani hawaNimelipenda Shuka lilivyo la Kihenga[emoji16][emoji16]
unajua maana ya sexing?Umejuaje ni jike mkuu hicho kina onesha sexing pia?