USHAURI

Hivi ni biashara gani mtu anawezaa kuifanya akiwaa na mtaji wa million moja...na ikasimama kwa muda mrefu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kwa Azam Group (SS Bakhresa) hapo kuna bidhaa utapa bei za jumla nafuu... baadae wewe utauza kwa bei ya rejareja...!!
jipange vizuri.., hakika utaanikiwa!!
Good Luck na heri ya mwaka mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…