Ushauri

Osmokalu

Senior Member
Joined
Nov 13, 2015
Posts
186
Reaction score
148
Naomba kuwauliza damu iliyo vilia inatakiwa kukandwa na maji ya moto au barafu?
 
Naomba kuwauliza damu iliyo vilia inatakiwa kukandwa na maji ya moto au barafu?
Barafu na ukandaji wake weka Hilo barafu kwenye kitambaa cha taulo au Nguo yoyote ndio ukande barafu likiwa limefungwa kwenye kitambaa hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…