R Ramadhan js New Member Joined Aug 8, 2012 Posts 1 Reaction score 0 Aug 8, 2012 #1 Nimeumwa gono zaidi ya Mwaka mda wote nilikua natumia dawa lakini huwa napata mafuu tu.Nilikuwa naomba ushauri na ikiwezekana dawa ambayo inaweza kuniponya.
Nimeumwa gono zaidi ya Mwaka mda wote nilikua natumia dawa lakini huwa napata mafuu tu.Nilikuwa naomba ushauri na ikiwezekana dawa ambayo inaweza kuniponya.
Mulangila Mukuru JF-Expert Member Joined Feb 24, 2010 Posts 1,945 Reaction score 728 Aug 8, 2012 #2 nenda hospitali haraka gono la muda mrefu huleta ugumba usione haibu mkuu
P Prince Hope JF-Expert Member Joined Jul 21, 2012 Posts 2,155 Reaction score 445 Aug 9, 2012 #3 Upo sehemu gani ya nchi? Kuna maabara nzuri naifahamu hata majani ya kiasili yapo. By the way pole sana.
Upo sehemu gani ya nchi? Kuna maabara nzuri naifahamu hata majani ya kiasili yapo. By the way pole sana.
S Short white Senior Member Joined Jan 6, 2011 Posts 124 Reaction score 32 Aug 9, 2012 #4 Duu, pole sana! Nenda hospital haraka sana watafanya vipimo zaidi. Usikubali kunywa dawa bila ya 'CULTURE AND SENSITIVITY' ya sample yako kufanyika.
Duu, pole sana! Nenda hospital haraka sana watafanya vipimo zaidi. Usikubali kunywa dawa bila ya 'CULTURE AND SENSITIVITY' ya sample yako kufanyika.