Wale wanaodharau wanaoenda kusoma education ajue ya kwamba hadi hatua aliyofika ni kwa juhudi za mwalimu..ujue kwamba ulizaliwa bila kujua chochote kuhusu elimu ..lakini mwalimu wako alikufunza herufi,mwandiko,hesabu ndipo ukafika hatua uliyofika......umwombe mungu wako akusamehe kwani hizo ni laana za kujitakia....so take care mnaoropoka bila kufikiria .jf the home of great thinkers na sio home of mentaly ill people.