Ushauri

Ushauri

kikongwe8

New Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
4
Reaction score
0
Jamani mimi ni msichana mwenye miaka ya 20 na, nina wazo langu la kufungua shamba la kiti moto (kwa Imani yangu ) .ila nilikuwa naomba ushauri jee iringa mafinga Ama pwani? , asanteni na mungu awe nanyi
 
Unajua unapotaka kufuga izo mambo kuna issues kadha wa kadha inabidi uziangalie.
1. Je maeneo hayo ni mbali na watu ,especially watu wa imani? Weka mbali na jumuia za watu ,makazi.
2. Je upatikanaji wa maji na chakula upo? Hawa wadudu wanahitaji maji kwa matumizi mbalimbali ,kuosha nyumba zao kunywa kuwasafisha. sasa angalia upatikanaji wa pumba mfano za mahindi ni wa kulidhisha kati ya Iringa ,Mafinga ukilinganisha na Pwani?
3. Angalia soko la wadudu wako pindi wanapomature. Je una soko la kuridhisha kati ya maeneo hayo uliyotaja? Fanya feasibility study ya soko kati ya maeneo yako uliyotaja.
4. Ngoja waje wataalamu wakuelezee zaidi.
 
Back
Top Bottom