Wana jukwaa kwanza nianze kwa kuwasalimu, naimani wikiend ilikuwa nzuri na mmejiandaa vema kuianza wiki. Binafsi namshukuru mwenyezi mungu mwingi wa rehema kwani kiafya nipo vizuri.
Lengo kuu la makala hii ni kuomba ushauri. Niaze kwa kujieleza mimi binafsi, mi ni miongoni mwa wahanga waliokosa ajira toka nilipohitimu masomo yangu mwaka 2011. Sasa nimejitahidi sana kupata mtaji wa kufanya biashara ila nadhani kama mnavyofahamu mazingira ya mikopo Tanzania yalivyo. Hivyo basi nimejitahidi kupata sh million moja. Sasa ushauri ninao uomba ni niifanyie nini hii pesa ili isipotee??
Lengo kuu la makala hii ni kuomba ushauri. Niaze kwa kujieleza mimi binafsi, mi ni miongoni mwa wahanga waliokosa ajira toka nilipohitimu masomo yangu mwaka 2011. Sasa nimejitahidi sana kupata mtaji wa kufanya biashara ila nadhani kama mnavyofahamu mazingira ya mikopo Tanzania yalivyo. Hivyo basi nimejitahidi kupata sh million moja. Sasa ushauri ninao uomba ni niifanyie nini hii pesa ili isipotee??