kiboko samson Member Joined Oct 14, 2013 Posts 73 Reaction score 74 May 12, 2019 #1 Kwa amabaee anaelewa Biashara hii namna ya kuagiza mzigoo toka Japan moja kwa moja na garama zake anaisaidiee maana mahitaji kuagiza moja kwa moja
Kwa amabaee anaelewa Biashara hii namna ya kuagiza mzigoo toka Japan moja kwa moja na garama zake anaisaidiee maana mahitaji kuagiza moja kwa moja
SNAP J JF-Expert Member Joined Dec 26, 2013 Posts 7,106 Reaction score 8,043 May 12, 2019 #2 Majibu ya swali lako nahisi yatanifaa hata mimi. Ngoja ni-subuscribu.
A AECO New Member Joined Aug 11, 2018 Posts 1 Reaction score 0 May 13, 2019 #3 kiboko samson said: Kwa amabaee anaelewa Biashara hii namna ya kuagiza mzigoo toka Japan moja kwa moja na garama zake anaisaidiee maana mahitaji kuagiza moja kwa moja Click to expand... Unataka kufanya Biashara ya Used ama mpya kabisa?
kiboko samson said: Kwa amabaee anaelewa Biashara hii namna ya kuagiza mzigoo toka Japan moja kwa moja na garama zake anaisaidiee maana mahitaji kuagiza moja kwa moja Click to expand... Unataka kufanya Biashara ya Used ama mpya kabisa?
M malembeka18 JF-Expert Member Joined Jan 26, 2018 Posts 3,266 Reaction score 3,698 May 13, 2019 #4 AECO said: Unataka kufanya Biashara ya Used ama mpya kabisa? Click to expand... Mkuu ni used toka japan
AECO said: Unataka kufanya Biashara ya Used ama mpya kabisa? Click to expand... Mkuu ni used toka japan