Ushawahi kuchukuliwa manzi kisa ulikuwa hauna dough ya kutosha

Ushawahi kuchukuliwa manzi kisa ulikuwa hauna dough ya kutosha

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Nilijuaga hivi visa ni kwenye bongo movie tu😂

Binti mzuri, chocolate skin, honest looking, very simple hadi alikuaga ananiamsha usiku tusali ahah mtoto yule wa kilokole😂

Nilimjulia wakati anaishi kwa shangazi yake (shangazi na mmewe wana uwezo wa kifedha), ndio nikaanza kurusha kamba huku tukiwa tunaendelea kujuana, mtoto akaitika, nikajisemea huyu ndio 3 to 4 years, am gonna marry her, by the time nilikua mpambanaji najitafuta, still hustlin in family b'ness.

Ghafla mrembo akaanzq kuwa mkaidi, kunipelekesha, kauli za kujiona matawi (wakati kwao ni apechi alolo) na yale maswali ya future yake itakuaje, mara hataki kuja kununuliwa pedi na mama mkwe 😂😂😂, mara nipeleke n shule nikasomee bra bra kama kweli unanipenda😂😂

Little did i know, kumbe anani challenge anayo kuwa promised na bwana yake mwingine , ambae, ni mme wa shangazi yake, ndio mme wa shangazi yake, alikuwa anatokan ane kisiri. Masikini shangazi yake ndio wakati huo sukari imeanza kumsumbua.

Aisee i was frustrated, ila ni miamba tu inaweza kujitoa katika mahusiano toxic, vijana wala chips, watazidi kuandika nyimbo za bongo flava, ila niliangushwa chini kwa kweli ila nikakumbuka Mungu ameniepusha na kitu kizito!!

So nikampiga chini, yule mzee akaendelea kujilia na mtoto akaendelea ku-enjoy vya boss. So kama ni laana alizipata mi sijui ila all i know hakunishinda chochote coz am better now.
 
Nilijuaga hivi visa ni kwenye bongo movie tu😂

Binti mzuri, chocolate skin, honest looking, very simple hadi alikuaga ananiamsha usiku tusali ahah mtoto yule wa kilokole😂

Nilimjulia wakati anaishi kwa shangazi yake (shangazi na mmewe wana uwezo wa kifedha), ndio nikaanza kurusha kamba huku tukiwa tunaendelea kujuana, mtoto akaitika, nikajisemea huyu ndio 3 to 4 years, am gonna marry her, by the time nilikua mpambanaji najitafuta, still hustlin in family b'ness.

Ghafla mrembo akaanzq kuwa mkaidi, kunipelekesha, kauli za kujiona matawi (wakati kwao ni apechi alolo) na yale maswali ya future yake itakuaje, mara hataki kuja kununuliwa pedi na mama mkwe 😂😂😂, mara nipeleke n shule nikasomee bra bra kama kweli unanipenda😂😂

Little did i know, kumbe anani challenge anayo kuwa promised na bwana yake mwingine , ambae, ni mme wa shangazi yake, ndio mme wa shangazi yake, alikuwa anatokan ane kisiri. Masikini shangazi yake ndio wakati huo sukari imeanza kumsumbua.

Aisee i was frustrated, ila ni miamba tu inaweza kujitoa katika mahusiano toxic, vijana wala chips, watazidi kuandika nyimbo za bongo flava, ila niliangushwa chini kwa kweli ila nikakumbuka Mungu ameniepusha na kitu kizito!!

So nikampiga chini, yule mzee akaendelea kujilia na mtoto akaendelea ku-enjoy vya boss. So kama ni laana alizipata mi sijui ila all i know hakunishinda chochote coz am better now.
Sio kwamba ulishinda it was just a karma maana alikuonea na haukuona shida kumlipa alilipwa na dunia na hadi Leo huko alipo anakukumbuka Sana na pengine angekuepo kwenye maisha yako usingefika hapo ulipo. So ulikua smart kuliko yeye aliyepewa ahadi za future hewa .
 
Sio kwamba ulishinda it was just a karma maana alikuonea na haukuona shida kumlipa alilipwa na dunia na hadi Leo huko alipo anakukumbuka Sana na pengine angekuepo kwenye maisha yako usingefika hapo ulipo. So ulikua smart kuliko yeye aliyepewa ahadi za future hewa .
Hakika mkuu.
 
Sitosahau nilipigwa chini na mwanamke niliekatokea kumpenda sana tena sana ila chanzo kilikuwa ni mimi kutokuwa na pesa...ila kwakisa hicho ndipo nilijifunza kuwa mwanamke ni bidhaa anaekuwa na dau kubwa ndie anamchukua,,Nilienda mpaka ofisini kwa mshkaji nikamuomba aniachie Happy kwasababu nampenda na nina malengo nae hili ni tukio ambalo sitosahau maishani....washkaji zangu walinipa moyo mno eti wataachana tu wale ila chakushangaza hadi leo wapo pamoja walishafunga ndoa ya kanisani na wana watoto 2
 
Ishu sio pesa hapo ni wewe kushindwa kucheza na akili yake tu.
Bila shaka ulipenda sana na yeye akajua ufhaifu wako, akaona hamna ulinzi hapa.

How comes dem amuamini mchizi ambae bado yupo kwa baba na mama, sio kosa lake.
 
Back
Top Bottom