Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Dah comrade niliwaishuhudia maeneo jamaa akidundwa na demu! Aibu tupu!
ukifanya ujinga nakupa kibao vilevile kwani mbona nyie kuwapiga girls hamuoni hatari sasa ni wakati wetu mkileta ijinga kibao litakalokua na liwe
ala!! kumbe wee mchuchu.....
tena we ndo ningekupa ngumi kabisaaaa
how can I slap my honeypot
Aisee juzi almanusra nidundwe demu aisee. Yaani sijui ingekuwaje...maana sijawahi kabisa kupewa kibano na demu na hata kupigana na demu siwezi na sitaki.
Mwenye tajiriba ya kudundwa na demu hebu atupe hapa alivyojisikia....
kitavi wewe pia unatakiwa ngumi moja
heheheheee hivi kwani ngumi ya mpenzi inauma?
nnh! labda niviziwe, hivi hivi haitowezekana hata ungekuwa baunsa namna gani
Hayajakukuta bro niliwahi kurushiwa simu na demu kwenye paji la uso ikabidi nishonwe,wivu wa mapenzi mbaya.kamwe siwezi pigwa na mwanamke..