Ibrahimeliza
Member
- Nov 25, 2020
- 37
- 26
Watu wengi wanaanzisha biashara lakini wengi pia wanafunga biashara, sababu na shauku ya kuanzisha biashara mara nyingi ndio hiyohiyo ya kufunga biashara ila nina wazo au kanjia kadogo ambacho labda kanaweza kukusaidia.
Kama umefeli katika biashara yako, swali la msingi kujiuliza nimefeli mara ngapi katika biashara hii...?? Nafanya mimi tu hii biashara...?? Wenzangu wanawezaje kufanikiwa katika biashara hii...??
Wazo langu ni hili, ukiona unafeli katika biashara au biashara yako inakuwa ngumu au unahisi inaenda kuanguka basi kabla ya kubadilisha biashara, jaribu kubadilisha mfumo au namna ya ufanyaji wako wa biashara wazungu wanaita (approach) kila biashara inachangamoto zake kwahiyo kama hautaweza kuisimamisha biashara hata moja mpaka ikakua basi utakuwa unaishia kuanzisha na kufunga kama wengi wanavyofanya.
Kama umefeli katika biashara yako, swali la msingi kujiuliza nimefeli mara ngapi katika biashara hii...?? Nafanya mimi tu hii biashara...?? Wenzangu wanawezaje kufanikiwa katika biashara hii...??
Wazo langu ni hili, ukiona unafeli katika biashara au biashara yako inakuwa ngumu au unahisi inaenda kuanguka basi kabla ya kubadilisha biashara, jaribu kubadilisha mfumo au namna ya ufanyaji wako wa biashara wazungu wanaita (approach) kila biashara inachangamoto zake kwahiyo kama hautaweza kuisimamisha biashara hata moja mpaka ikakua basi utakuwa unaishia kuanzisha na kufunga kama wengi wanavyofanya.