nadiegirlie
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 479
- 671
Anaweza kuwa ndugu yako au rafiki yako hata mtu yeyote tu.
Mimi nakumbuka siku moja rafiki yangu alianza kubishana na kijana mmoja mtaani ghafla wakaja marafiki wa yule kijana waliokuwa wamekaa pembeni kuingilia ugomvi ule.Mimi nikaanza kumvuta rafiki yangu tuondoke binti hataki anang'ang'ania kubishana halafu wale vijana wakaanza kumzomea loooh dada naona kaganda tu mmh mi nikamuacha nikaenda kupanda bajaji nikaondoka maana niliona aibu mimi
hata mimi ningeona aibu kwa kweliAlibanja nikaona noma.
nani huyo mkuuyes yule aliyesema "ea osteji" alisababisha nikajiskia aibu kwa niaba yake
samahani dada, nina mke, watoto na michepuko miwili wanitegemea.nani huyo mkuu
Hahahahayes yule aliyesema "ea osteji" alisababisha nikajiskia aibu kwa niaba yake
hahahaha ila ahsante bwana you made my daysamahani dada, nina mke, watoto na michepuko miwili inanitegemea.
kariiibu mamiloohahahaha ila ahsante bwana you made my day
Out of topic ..Huko tunaongoza ngap ?AIBU NAONA MIMI - BOBAN
Anaweza kuwa ndugu yako au rafiki yako hata mtu yeyote tu.
Mimi nakumbuka siku moja rafiki yangu alianza kubishana na kijana mmoja mtaani ghafla wakaja marafiki wa yule kijana waliokuwa wamekaa pembeni kuingilia ugomvi ule.Mimi nikaanza kumvuta rafiki yangu tuondoke binti hataki anang'ang'ania kubishana halafu wale vijana wakaanza kumzomea loooh dada naona kaganda tu mmh mi nikamuacha nikaenda kupanda bajaji nikaondoka maana niliona aibu mimi
haya sawaHilo wigi lako kama helment kubwa kushinda kichwa chako.