Hizo Mambo zipo kibao humu huko fb ndio kabisa ni hatari!!, Yaani kidemu unaanzisha nacho chatingi ndani ya dk 2 kishakuomba vocha, Mara hela ya umeme, hela ya kula eti hakijala dah..... Life gumu sana..
Dume jinga hilo halioni hata haya kutumia picha ya mwanamke kutapeli watu mwisho wao hua ni kupakwa mafuta ya mchikichi wengine wanaita mawese na kupakuliwa,