LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
nakumbuka siku moja nimetoka singida naenda manyara kwa baiskel ilikuwa ni masika,
nikiwa katikati ya mbuga ilikuja mvua ya ghafla ambayo sikuitarajia kurudi nyuma ni mbali na ninapokwenda ni mbali ikabidi nikomae tu hivo hivo basi bhana,
baiskel ikabana matope kwenye madgad ikawa haitembei nikatafuta hata jiwe ili niivunje ile madgad maana hata kijiti kutolea matope nilikosa kila hatua nikinyanya viatu vinabakia chini ikabidi viatu nikatemana navyo nikapiga pekupeku,
ile mvua ilinyesha zaidi ya lisaa limoja lakini huo msoto wake mungu tu alisaidie mvua isikie tu ukiwa ndani lakini siku ikikukuta maeneo mbaya, sio mchezo,
japo nilitoboa safari yangu ila niliugua siku tatu,
nikiwa katikati ya mbuga ilikuja mvua ya ghafla ambayo sikuitarajia kurudi nyuma ni mbali na ninapokwenda ni mbali ikabidi nikomae tu hivo hivo basi bhana,
baiskel ikabana matope kwenye madgad ikawa haitembei nikatafuta hata jiwe ili niivunje ile madgad maana hata kijiti kutolea matope nilikosa kila hatua nikinyanya viatu vinabakia chini ikabidi viatu nikatemana navyo nikapiga pekupeku,
ile mvua ilinyesha zaidi ya lisaa limoja lakini huo msoto wake mungu tu alisaidie mvua isikie tu ukiwa ndani lakini siku ikikukuta maeneo mbaya, sio mchezo,
japo nilitoboa safari yangu ila niliugua siku tatu,