Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,822
Katika mahusiano kuna watu huwa wanafikia hatua
1.tiyali wameshatoa mahali
2.tiyali wameshatambulisha kwa wazee
3.tiyali wameshatoa posa
Alafu linabakia swala la kufunga ndoa dakika ya tisini mambo kukamilika mtu mmoja anazingua hatokei siku ya harusi
mahusiano yanavunjika juu kwa juu
Au mwishoni mambo yanavurugika kama ushawahi kushuhudia hebu njoo utupe mkasa iliuweje
1.tiyali wameshatoa mahali
2.tiyali wameshatambulisha kwa wazee
3.tiyali wameshatoa posa
Alafu linabakia swala la kufunga ndoa dakika ya tisini mambo kukamilika mtu mmoja anazingua hatokei siku ya harusi
mahusiano yanavunjika juu kwa juu
Au mwishoni mambo yanavurugika kama ushawahi kushuhudia hebu njoo utupe mkasa iliuweje