😂😂😂😂😂😂😂Sitasahau Mganga alichotufanyia
Jamaa zangu waliibiwa simu na PC enzi tuko chuo[...] Mganga alitupaa Masharti " Moja ya Sharti lilikuwa ni kwenda kulala saa 11 Jioni mpaka asubuhi" 😂
Kesho yake kumtafuta Mganga Hapatikani 😂😂 aiiisee tulichoka simu na PC hatukupata na pesa zimeliwaa 🤣🤣🤣
Kila nikikumbuka huwa nacheka sana 😂😂😂😂
NB Mganga sio wa kuamini
Mambo ya ulozi huu wa kileo ni ya kubahatisha sanaa
Mkuu Waganga wa TV ni wachache sana kwa sasa , % kubwa yao MATAPELI ndio walee kila nguzo za Umeme utakuta tangazo "Mganga kutoka sumbawanga"[emoji3][emoji3] Kuna dada aliibiwa simu akaenda kwa mganga wa tv akamwona mwizi wake na akarudishiwa simu
Serikali itakutafuta mkuuUsimwache mtu mchawi aishi
Mtu kashaibiwa, halafu anajipeleka kuibiwa tena kwa mganga.Pakitokea wizi siwezi kukubali upumbavu wa kuleta mganga eti atumie madawa yake kujua mwizi, hichi kitu hakipo katika imani yangu.
Hayo madawa wanayokupaka saa nyingine yanakuja kukuletea matatizo makubwa zaidi (kukuroga)
Hao watu sio wa kuamini,
[emoji3064][emoji23][emoji3]Mtu kashaibiwa, halafu anajipeleka kuibiwa tena kwa mganga.
Kwanini ule ban kuna shida gani kwa habari hiyo au hawaruhusuJf hawatabirik naweza kula ban
Uchawi ni nini na utajuaje huu ni uchawi na si utapeli tu au kitu ambacho si uchawi ila hujakijua tu?Ni kweli waganga wengine ni matapeli, lakini uchawi upo na nguvu za giza zipo!
Nimeona uchawi kwa macho yangu mawili!